Kesho nakuonyesha withdraw bro...Nina mzigo natoa keshoUkishaona biashara unaoneshwa mzigo ambao upo kwenye online account/wallet wakati ukiomba uoneshwe screenshots za kuwithdraw inakuwa kazi inabidi ujiongeze
Hata btmm ni nzur sana mkuu coz ICT na SMC hazina tofaut kubwaHapo kwenye ICT ndiyo penyewe,kujifunza jinsi Central Banks wanavyotumia algorithm katika ku-deliver price,ku-provide liquidity na jinsi ya ku-capitalize kwenye liquidity ambayo imekuwa provided.Mungu bariki sana tumbo lililomzaa Mr.Michael Huddleston[emoji847][emoji847][emoji847]
Comment zako kwenye masuala ya soko huwa zimeshiba sana, I wish nije nikae na wewe tuzungumze hata kwa masaa kadhaaKuna services of trading sellers,watunga vitabu,wauza kozi,wauza materials za maguru waliokwisha kufa,wauza weekly news letters subscription fee unatoa,watoa signals,wanao manage account,watalaamu wa fundamental news analysist,wachambuaji wa technical analysis,wafundishaji wa weekend courses, seminar,watalaamu wa saikolojia,watunga vitabu, brokers, liquidity providers,fortune teller ama wapiga ramli kuwa btc itapanda mpaka laki nne dola mnamo 2030 utadhani wameshaongea na malaika tayari.kuna dead guru,Kuna living guru,Kuna hidden guru.
Yaani Kuna vitabu Kama vyote unajaza semi hata Mia Ila Sasa real books by real traders unabeba mkononi.
The system jinsi ilivyo ya elimu iko highly wired opposite with what you're supposed to be taught.
The nature of the game how is played is such that majority or public shouldn't be exposed to the truth.
Naomba niiishie,kikubwa Soma komaa alone,ama kamuulize Ronaldo alifanyaje akafikia zile levo,anasemaga commitment and hard work hakuna magic yyte.
Hakuna magic pill utameza.
Remember nowhere you can buy experience or knowledge na pia success cannot be sold in the shop at Kariakoo there.
Hata uwe na hela you can't buy experience or success fulani.
It takes undying passion, unquenched undying thirst to learn.
No safe sailing. There's always highest ocean waves, turbulence,sharks waiting you to dive in the deep see depth,smt no compass to point right information.
The danger of the education system we've right now is that. There are a lot of fuckin many available sources of informations over there from Australia to Canada,from Iran to Argentina.
Only people who are willing to filter information,to learn, unlearn, relearn,learn to learn,learn to relearn,learn to unlearn will survive in this era. Zamani hakukuwa na information Ila saivi iko kila kona na hakuna mamlaka ambayo Ina regulate real curriculum to study.
Kitu unayo nifanya nivutiwe na maoni yako ni kwamba unazungumzia sana pschology au namna mindset ya trader inavy takiwa iwe which is 80+% ya trader kufanikiwa.No surprise that new traders will likely encounter the fear of the unknown because the picture is painted bright and rosy, till reality sinks in.
Most are attracted to trading because of the freedom it can bring and the near-zero physical work involved, just a click of the mouse. However, what goes behind the scene is seldom talked about and much less publicized.
Tofauti kubwa ya BTMM na ICT ni:Hata btmm ni nzur sana mkuu coz ICT na SMC hazina tofaut kubwa
Try to synchronize both sides which is best for you and throw shit in dustbinTofauti kubwa ya BTMM na ICT ni:
1.BTMM haikupi uwezo wa kuona institutional order flow,yaani unakuwa hujui muelekeo wa soko in long run ni upi ila ICT inakuonyesha mueleko wa soko in long run.
2.Katika BTMM Kuna uwezekano wa kuwa trapped kwenye consolidation pamoja na chopping market ila ICT ina uwezo wa kukuokoa na zahama hiyo.
3.Kwenye ICT unaweza kujua kuwa ni upande upi ukibuy au ukisell ubakie kwa muda mrefu kwa kuwa siyo pullback ila kwenye BTMM huwezi kujua upande wa kubakia kwa muda mrefu,yaani huna uwezo wa kutofautisha kati ya pullback na continuations.
4.Kwenye ICT ni rahisi kujua miezi ndani ya mwaka ambapo soko huwa halitembei sana kama vile December,January,June,July na August ila kwenye BTMM huwezi kujua hilo,yaani wewe mwaka mzima unatrade tu hata kama ni seasonal tendency ambayo soko halitembei.
5.Kwenye ICT unaweza ku-anticipate wakati big move inatarajia kuja vs wakati small move inatarajia kuja kwa kutumia smart money tools kama vile open interests,COT report,seasonal tendency,SMT divergences na kadhalika ila kwenye BTMM huwezi kutabiri big moves na small moves.
6.Kwenye ICT unaweza kutabiri turning points za soko kwa kutumia parameters nyingi zaidi kama vile Time,price and patterns wakati kwenye BTMM unatumia patterns peke yake.
7.ICT inakupa uwanja wa setup nyingi sana ambazo unaweza kutrade kama vile kill zones,turtle soup,weekly expansion range,draw on liquidity,PD array trading kama vile rejection blocks na kadhalika wakati kwenye BTMM inabidi utulie kusubiri tu zile three phases movement za soko zitokee.
8.ICT inakupa ushahidi mwingi kama vile PD arrays,judas swing,SMT divergence,Time,pattern na kadhalika kuwa turning point ya soko ni mahali fulani wakati kwa BTMM unatumia ushahidi wa pattern peke yake.
Tuonyeshe kwa trading account na ionekane iyo iyo kwa bank akaunti. Ila sio kuwa haliwezakani najua Kuna watanzania tayari wanakamua hela muda wote wanaotaka wao Tena bila ya shidaKesho nakuonyesha withdraw bro...Nina mzigo natoa kesho
Your perception, beliefs, attitude and committee ya watu wanaongea kichwani mwako sio na sawa na za mwingine mkuu.Ukitaka biashara za kutabiri, tabiri mpira wa miguu.
Kujifunza forex utaumiza kichwa sana. Juhudi utakayotumia ni rahisi zaidi kujifunza kusoma takwimu za mpira na kutambua tabiri za uhakika. Ila uwe mvumilivu usipende mikeka. Chambua kwa undani mechi kama 100 kila siku, lakini weka utabiri wa timu moja hadi tatu tu kila siku, unachovuna rudisha chote kwenye utabiri unaofuata.
Watu wenye vichwa vya kuweza kuelewa Forex ni wachache. Kwa hiyo kinachoendelea ni kwamba watu wanatengenezewa michezo ya piramidi kwa kisingizio cha Forex. Sasa humo kama kawaida ya piramidi wa kubaki wameshika mapakacha ni wengi.
Narudia tena, kama una kichwa cha kuelewa Forex, basi utaburuza sana kwenye kutabiri mpira wa miguu.
Ila ujue sio wewe uliyeuliza swali. Kwa jinsi ulivyopaniki nina wasiwasi utakuwa miongoni mwa wanaoendesha patu za Forex.Your perception, beliefs, attitude and committee ya watu wanaongea kichwani mwako sio na sawa na za mwingine mkuu.
Can you bet kwa mpira iwe career yako mazima. Naomba tu utulie hii Ni biashara sema huko unabahatisha unafanya gambling. Huku pia yapo yote waweza uka gamble ama uka speculation it's up to you. Naomba usinichagulie mke please mie nawapenda mabinti wa Tarime halafu wewe kwako wakawa wabaya.
Your perception your world. Remember always when you see your cup half empty is half full and can't go completely empty.
Najua hujaniambia mie Ila najua kuwa umeweka public mkuu. Pia sijapanic nimetoa Komenti ili watu wawe huru na kunifahamisha nawewe. Ujue huwa tuna beliefs tofauti na beliefs huwa Zina nguvu mno mkuu.Ila ujue sio wewe uliyeuliza swali. Kwa jinsi ulivyopaniki nina wasiwasi utakuwa miongoni mwa wanaoendesha patu za Forex.
Ila kama unaijua Forex kweli huna haja ya kupaniki nimekupa mwanga tu kwamba akili uliyotumia kuielewa Forex na kuweza kucheza nayo ukapata hela kweli basi ukiihamishia hiyo akili kwenye kubashiri mpira wa miguu utatajirika sana.
Iwe unafanya Forex kweli, sio kucheza au kuchezesha upatu wa Forex kama gheresha.
Kama unaelewa kuwa akili zinatofautiana basi ndo usipaniki ukiona akili tofauti na yako, ukachukulia kana kwamba umeshambuliwa wewe binafsi.Najua hujaniambia mie Ila najua kuwa umeweka public mkuu. Pia sijapanic nimetoa Komenti ili watu wawe huru na kunifahamisha nawewe. Ujue huwa tuna beliefs tofauti na beliefs huwa Zina nguvu mno mkuu.
Unaambiwa kuwa mbali na our physical features like mikono, height,body shape, color,etc zinazotutofautisha kinachotutofautisha is how we think and our mindset how we set our mind about perceiving something.
Sasa hizi beliefs huwa Zina kuwa stored in the form of energy structures.huwezi ziona Ila utaona madhara ama effects zake zinazoleta Ni kama umeme ukiwa umetulia huuoni,kabisa,hata sound,video ikiwa imehifadhiwa huioni Kabisa Sasa madhara yake utayaona.
Sasa hizi beliefs huwa zinakujaku collide zinapogongana na za mwingine. Ujue afrika tuliamini zeruzeru Ni Kama mkosi,jamii yangu miaka ya 1800+ walikuwa wanaweka mapacha pale ng'ombe wanapoingilia zizini wakanyagwe na ng'ombe wafe.
So unacheki beliefs zilivyo Sasa Kuja kuzitoa kichwani Ni kazi mno
Sijachukuliwa Kama nimeshambuliwa mkuu bali najaribu ku challenge your beliefs and I show up mine. Ndio maisha. Nb the greatest distance between two people is just misunderstanding Wala sio kuwa mie nipo zebaki wewe upo jupita.Kama unaelewa kuwa akili zinatofautiana basi ndo usipaniki ukiona akili tofauti na yako, ukachukulia kana kwamba umeshambuliwa wewe binafsi.
Angalia kwenye andiko langu ukiona kama kuna kitu kinachokufaa chukua kakifanyie kazi.
Just trade with what you see before you. Charts are communicating with your every minutes/seconds so listen to them and do what they order you.BOOM NA CRASH NAYO TAMU MNASEMAJE WADAU??
BOOM NA CRASH NAYO TAMU MNASEMAJE WADAU??
Hakuna scam kwny forex,though Kuna scammers wengi ktk jina la forex traders so akili kumkichwa.Ni kitu ambacho nimekua nakiona sana saivi na naona watu wengi wakitamba mitandaoni kwamba wanapiga hela ya kutosha Forex. Mtu anatengeneza mpaka milioni 3 za kitanzania kwa siku. Kiukweli nimeshawishika kuingiza mguu kwenye hii biashara japo ni jambo ambalo nitatakiwa kua mvumilivu kwa muda mrefu katika kujifunza.
Sasa wasiwasi wangu ni kitu kimoja tu, hii kitu ni Real au tunadanganywa tu. Maana nje ya mitandao sijawai kukutana na mtu anapiga mpunga Forex
Wanaopiga hela wapo lkn ni wachache sn na huwaoni mitandaoni,hawa tunaowaona Instagram wanajifanya walimu ni broke,tena most of them hawajui kutrade,wanajua theories walizojifunza bure online,wamepigwa sn na soko,forex ukiipatia huwezi piga kelele una hela maana mwnyw unajua shida ulizopitia na ni human nature kuwa selfish,ss mtu anakuitia fursa,huyo kuwa naye makini.Mkuu najua hio ni trust wallet naomba uscreenshot kwa chin nione hizi $ ni za usdt ,Bitcoin au Nini .....isijekuwa ni airdrops[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hali ya kawaida hio $133,000 ni zaidi ya million 300 ,Sasa tunaomba utuoneshe kwa chinj hapo hizo $ ni usdt ,busd ,au Bitcoin ... vinginevyo wewe ni mhuni tu unatafuta watu uwapige ,....
Unajaribu kutafuta training fees kutoka kwa vilaza wanaotaka utajiri wa haraka ...
Maana watu wote wa forex ,walishafirisiki na kuchanganyikiwa maana washapoteza pesa nyingi sana ...
Hata sir Jeff ukimuangalia na ule wembamba Kama chelewa unamuona kabisa aforce furaha Hana analopata kwenye forex zaidi ya kuwapiga wajinga train fees ....chezea forex wewe ....
Huyu mwamba nimemuona kwenye kitabu cha Reminisces of a stock operator cha Edwin Lefevre. Nilianza kukisoma jana, baada ya kumaliza kitabu chaTrading in the zone. Hiki kinahusu zaidi saikolojia ya trader anapo trade.
Umenivunja mbavu. Kuwa unatafuta fee kwa vilaza. Na Jeff na uwembamba wake anafosi furahaUnajaribu kutafuta training fees kutoka kwa vilaza wanaotaka utajiri wa haraka ...
Maana watu wote wa forex ,walishafirisiki na kuchanganyikiwa maana washapoteza pesa nyingi sana ...
Hata sir Jeff ukimuangalia na ule wembamba Kama chelewa unamuona kabisa aforce furaha Hana analopata kwenye forex zaidi ya kuwapiga wajinga train fees ....chezea forex wewe ....