Forex Trade imeniumiza

Forex Trade imeniumiza

Mkuu umeupiga mwingi mnoo! Hiv unawezaje kujua hapantapoteza kiasi fulani au ntapata hela kiasi gan endapo soko litakwenda ndivyo sivyo au kwenda kama ulivyobashiri?? Naombakufahamishwa formular
Hiyo inategemea na Risk appetite na target yako in a specific trade.
Kwenye risk appetite au utayari wa kupoteza kila mtu anachagua mwenyewe kiasi cha kupoteza endapo trade itaenda ndivyo sivyo na target inategemea na market ipoje kwa wakati huo

Mfano umeona setup ya pips 100,hapo pips 100 ndo target yako so utaamua kiasi cha kupata endapo trade itafanikiwa na kiasi cha kupoteza endapo itaenda against you kwa kutumia lotsize na stoploss labda pips 20

So hapo una target ya pips 100 na stoploss pips 20.so ukitumia lotsize ya 0.05 na trade ikaenda as planned utapata profit ya $50 kwa hizo pips 100 au na kama ikienda against you utapoteza $10 kwa hizo pips 20 au ukitumia lotsize ya 0.10 utagain $100 kwa hizo pips 100 if the trade works well au utaloose $20 kwa hizo 20 pips

So the profits and losses you get depends with your risk to reward ratios (RR) na lotsize
 
Hiyo inategemea na Risk appetite na target yako in a specific trade.
Kwenye risk appetite au utayari wa kupoteza kila mtu anachagua mwenyewe kiasi cha kupoteza endapo trade itaenda ndivyo sivyo na target inategemea na market ipoje kwa wakati huo

Mfano umeona setup ya pips 100,hapo pips 100 ndo target yako so utaamua kiasi cha kupata endapo trade itafanikiwa na kiasi cha kupoteza endapo itaenda against you kwa kutumia lotsize na stoploss labda pips 20

So hapo una target ya pips 100 na stoploss pips 20.so ukitumia lotsize ya 0.05 na trade ikaenda as planned utapata profit ya $50 kwa hizo pips 100 au na kama ikienda against you utapoteza $10 kwa hizo pips 20 au ukitumia lotsize ya 0.10 utagain $100 kwa hizo pips 100 if the trade works well au utaloose $20 kwa hizo 20 pips

So the profits and losses you get depends with your risk to reward ratios (RR) na lotsize



Umetoa elimu kubwa Sana ila kwa lugha rahisi Sana na yenye kueleweka kabisa....keep it up boss...sio mtu unamuuliza maoni yake kwenye suala Fulani anakuja maneno ya kanga kuwa mm sifanyi speculation...mm sio anticipatory trader...mm sio nyenyeeee...eti mm ni Reactive trader...anatumia stop loss ya mm kama hafanyi speculation....zaidi ya yote kwenye telegram channel yake....95% ya signals anazopost zinahit SL....halafu kujikinga kaweka disclaimers kibao.....Hawa mentors uchwara shida tu...

Asante mkuu kwa maelezo yako makini kwa mwana
 
Umetoa elimu kubwa Sana ila kwa lugha rahisi Sana na yenye kueleweka kabisa....keep it up boss...sio mtu unamuuliza maoni yake kwenye suala Fulani anakuja maneno ya kanga kuwa mm sifanyi speculation...mm sio anticipatory trader...mm sio nyenyeeee...eti mm ni Reactive trader...anatumia stop loss ya mm kama hafanyi speculation....zaidi ya yote kwenye telegram channel yake....95% ya signals anazopost zinahit SL....halafu kujikinga kaweka disclaimers kibao.....Hawa mentors uchwara shida tu...

Asante mkuu kwa maelezo yako makini kwa mwana
Nipe password na username nikutradie tunagawana profit 50%
 
Umetoa elimu kubwa Sana ila kwa lugha rahisi Sana na yenye kueleweka kabisa....keep it up boss...sio mtu unamuuliza maoni yake kwenye suala Fulani anakuja maneno ya kanga kuwa mm sifanyi speculation...mm sio anticipatory trader...mm sio nyenyeeee...eti mm ni Reactive trader...anatumia stop loss ya mm kama hafanyi speculation....zaidi ya yote kwenye telegram channel yake....95% ya signals anazopost zinahit SL....halafu kujikinga kaweka disclaimers kibao.....Hawa mentors uchwara shida tu...

Asante mkuu kwa maelezo yako makini kwa mwana
Haha forex industry imeingiliwa na matapeli kibao wanazingua sana
 
Nishatuma mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
1641137561715.png


Asante! Napitia kwa sasa
 
Habari Wakuu,

Baada ya kusoma soma sana na kujifunza Forex, na kuona mwenzangu amefanikiwa sana na Forex Trade, niliamua na mimi niingie kuyaoga haya maji kwani hamna mtu hapendi ma isha mazuri.

Nikaanza vyema na 300 USD kwa wale wanaofahamu dowjones. Nilifanikiwa kwa kweli mpaka balance ikawa kubwa 1000 USD.

Pale ndipo balaa lilipoanza kwani kabla sijfunga na kufungua macho, week iliyopita siku ambayo sitaki kuikumbuka, pale nilipofunga na kufumba na kufumbua macho, trade ilienda tofauti kabisa na kufuta balance yangu yote.

Hapa nilipo sina hamu tena ya hii kitu

Naombeni ushauri nirudi upya na nguvu au nikalime tu.

Mmc
Nouma sana, ila wanasema kitu kama hicho ni expected kwenye trading
 
Hiyo inategemea na Risk appetite na target yako in a specific trade.
Kwenye risk appetite au utayari wa kupoteza kila mtu anachagua mwenyewe kiasi cha kupoteza endapo trade itaenda ndivyo sivyo na target inategemea na market ipoje kwa wakati huo

Mfano umeona setup ya pips 100,hapo pips 100 ndo target yako so utaamua kiasi cha kupata endapo trade itafanikiwa na kiasi cha kupoteza endapo itaenda against you kwa kutumia lotsize na stoploss labda pips 20

So hapo una target ya pips 100 na stoploss pips 20.so ukitumia lotsize ya 0.05 na trade ikaenda as planned utapata profit ya $50 kwa hizo pips 100 au na kama ikienda against you utapoteza $10 kwa hizo pips 20 au ukitumia lotsize ya 0.10 utagain $100 kwa hizo pips 100 if the trade works well au utaloose $20 kwa hizo 20 pips

So the profits and losses you get depends with your risk to reward ratios (RR) na lotsize
mimi ni begginer, nimefungua demo account, lakini kila nikitaka ku place order nafeli, inaniambia not enough money, tatizo ni nini?
 
mkuu, hapa kwenye meta trade platform, nimesajili akaunti,..lakini kwenye ku order, hiki kibattan cha kupress order, kinakuwa inactive. sasa tatizo ni nini?
Kinakuwa inactive kivipi fafanua na kama ni demo we fungua tu account nyingine
 
Habari Wakuu,

Baada ya kusoma soma sana na kujifunza Forex, na kuona mwenzangu amefanikiwa sana na Forex Trade, niliamua na mimi niingie kuyaoga haya maji kwani hamna mtu hapendi ma isha mazuri.

Nikaanza vyema na 300 USD kwa wale wanaofahamu dowjones. Nilifanikiwa kwa kweli mpaka balance ikawa kubwa 1000 USD.

Pale ndipo balaa lilipoanza kwani kabla sijfunga na kufungua macho, week iliyopita siku ambayo sitaki kuikumbuka, pale nilipofunga na kufumba na kufumbua macho, trade ilienda tofauti kabisa na kufuta balance yangu yote.

Hapa nilipo sina hamu tena ya hii kitu

Naombeni ushauri nirudi upya na nguvu au nikalime tu.

Mmc
Huwezi kufanikiwa overnight mkuu.
Tatizo letu huwa tunataka tulale masikini tuamke matajiri...labda uwe jambazi la kutumia nyuklia.

Pesa inahitaji uvumilivu elimu na uzoefu.

Mimi nilianza forex 2016.
Tena kwa kwenda nje kuisomea.
Nikiwa kozi huko huko mimi na mkufunzi na wanafunzi wengine tuliunguza pesa karibu zote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nilikata tamaa kiasi, lakini kipindi cha pili kwa siku hiyo akaja mkufunzi mwingine kufundisha somo la saikolojia ktk forex, kiasi flani moyo ukatulia na nikaanza kulifanyia kazi aomo hilo huku nikijifunza kwa bidii.

Kikubwa nilichojifunza zaidi kwake huyu wa pili ni vyema kuwa na pairs chache sana na ujifunze tabia zake hadi uzijue...
Tengeneza strategy zako mwenyeww na sio kutegemea watu.

Pili jiwekee malengo kuwa ukipata faida 20 -30% ya mtaji wako kwa siku toka sokoni hata kama soko ni zuri kwani jinsi unavyotrade linaweza kubadilika ghafla na kula mtaji na faidi yote.
Nina mengi ya kushare lkn muda ni mdogo.

Itoshe kusema mimi nina kazi nje ya forex lkn forex ni sawa na chakula cha kila siku.
 
Back
Top Bottom