Mkuu trading ni biashara kama biashara nyingine. Kama mtu anasoma chuo zaidi ya miaka 4 kuwa mwanasheria au daktari na trading ni hivyohivyo, tatizo vijana wanadanganywa na matapeli wa social media wanaojiita forex traders matokeo yake wao ndio wanageuzwa fursajidanganyeni na izo pesa za kudownload tuh
endeleni kusomea mafinyofinyo si kila elimu ni ya kukukomboa usiwe kiaziMkuu trading ni biashara kama biashara nyingine. Kama mtu anasoma chuo zaidi ya miaka 4 kuwa mwanasheria au daktari na trading ni hivyohivyo, tatizo vijana wanadanganywa na matapeli wa social media wanaojiita forex traders matokeo yake wao ndio wanageuzwa fursa
Sawa Mkurugenziendeleni kusomea mafinyofinyo si kila elimu ni ya kukukomboa usiwe kiazi
Naungana na wewe hakuna strategy mpya!! Hayo ni majina tu lakini basic concept ya forex ni kwanza jua kusoma candle sticks, jua zones za muhimu (suppy and demand, support and resistance) na market structure kwa ujumla!Hakuna strategic mpya kweny forex hayo ni majina tu sijui BTMM( beat the market marker) sijui ICT ,pure price action ni trash zote mara sirjeff aite TTT(Treasury trading trick) kuwa makini utapigwa tu.
Anyway Sandile senzi kashatapeli watu huko.
Ni sawa na mtu wa kukuelekeza njia ya kufika Mbeya tokea Dar na akupe options 10 za kufika huko.one of the best strategies.... japo ukimfuatilia michael(ICT) mwenyewe utachanganyikiwa anacomplicatisha sana wakati vitu easy
yeaaaaah ukitaka ufanye kila kitu anachofundisha ndo balaa linapoanziaNi sawa na mtu wa kukuelekeza njia ya kufika Mbeya tokea Dar na akupe options 10 za kufika huko.
Ndo ICT anachofanya, kazi yako ni kutafuta njia nzuri kwako inayokufaa.
nadhani umemaliza kila kitu ,for me nnna shida ya ku overtrade ,ila kwa demo i just stick to OB ,fvg,na trendline na mostly i do trend reversals .nimeona it works for meDon't complicate maisha...unahitaji vitu viwili tu
1.know your dealing range
2.elewa hizi entry 3 yaan i.turtle soup ii.fvg/Ob iii.breaker/Ote
Umemalizaa no stress ila stress zitakuja kama huna good risk management
Bila kusahau hzo entry znapatikana specific time..learn Time and Price utaelewa
Trend reversal unaigunduaje boss....na hizi initials kama tuko hapa kwa lengo la kufahamishana kwanin zisiandikwe kwa kirefu kwa mfano kama ni order block unaandika sio kusema OB.nadhani umemaliza kila kitu ,for me nnna shida ya ku overtrade ,ila kwa demo i just stick to OB ,fvg,na trendline na mostly i do trend reversals .nimeona it works for me
Ob order block,fvg is fair value gap.Trend reversal unaigunduaje boss....na hizi initials kama tuko hapa kwa lengo la kufahamishana kwanin zisiandikwe kwa kirefu kwa mfano kama ni order block unaandika sio kusema OB.
ICT 2022 MENTORSHIP.Ob order block,fvg is fair value gap.
For.me.trend reversal baada ya kuangalia point of interest kwa higher time frame,then unaangalia ikishatokea choch=change of character ni sign moja wapo,then lazima itafanya retracement kwenye fair fair value gap kabla ya kuendelea na hiyo reversal
Nakubaliana na wewe hakuna jambo jipya ila watu wanabadilisha majina Ili wawapige hela ma-mentees.Technical zote ni sawa nakuambia hamna mpya kwa vile forex kila mtu anaweza kubuni mbinu ila ni mule mule hamna mpya.
MaHii ICT ni tofauti, haifanani na BTMM inayotumika BTMM indicator, haifanani na TTT ya Jeff inayotumia chart patterns.
Na aliyeigundua alikuwa ni computer scientist Mmarekqni mzungu, ndo maana wazungu nitaendelea kuwaheshimu na anafundisha Bure , so ni wewe uapply hardwork au ufeli kama wengine.
Kwanza forex market inabeen driven na economic factors na kupitia economic data ndo currency ya nchi mmoja Ina -appreciate kuliko mwenzake.
Licha ya kwamba Kuna utapeli mwingi Kwa wale ambao wanashindwa kupata hela sokoni, ndo maana namshauri yeyote ajifunze Bure kupitia channel mbili tu YouTube.
1. Karen Foo(hapa kama huna background ya Uchumi na Finance, maana huku bila kuwa na ujuzi wa economic factors hutoboi)
2. INNER CIRCLE TRADER
Kacheki NFP jana kilichowafanyia watu wa technical analysis na jana jinsi watu wenye ujuzi wa economics walivyoprofit since Jumatano wakisikiliza kikao cha FED kilichozungumza mustakabali wa Dollar.Una maana Gani ,unaposema bila e.factor hutoboi?
Ma
Ni kweli bro .NFP ni news..and hio kitu inatokea mara Moja Moja but sometimes price tends to respect hizi strategy unazoita za kuchoraKacheki NFP jana kilichowafanyia watu wa technical analysis na jana jinsi watu wenye ujuzi wa economics walivyoprofit since Jumatano wakisikiliza kikao cha FED kilichozungumza mustakabali wa Dollar.
Kinachomove Market ni MACRO-ECONOMICS sio Trendline Wala FVG Wala Order block.
Hizi strategies huwa unaona zinakubali kwa kuwa hii ni algorithm, inatend to repeat every single time. Ila asilimia 99% ya matraders wanaoitumia hizi tu wanaunguza akaunti , pili ukiwa na ujuzi wa Macroeconomics ukijumlisha na technicals, unakuwa profitable trader In a long run.Ni kweli bro .NFP ni news..and hio kitu inatokea mara Moja Moja but sometimes price tends to respect hizi strategy unazoita za kuchora