Forget about Nairobi's Kenyatta teaching hospital, these are Kenya's county referral hospitals

Forget about Nairobi's Kenyatta teaching hospital, these are Kenya's county referral hospitals


Tutupie pia ya Shinyanga mzee.
IMG-1-20180621-670x400.jpg




images
 
picha mbili za hospitali ya serikali Shinyanga na ktuo cha afya shinyanga, ya Mkoa hiyo apo! Sahau sisi sio level yenu sahau baba! Huku SGR itapita na hata airport inapanuliwa to medium size!



people-at-the-airport-of-shinyanga-in-tanzania-in-africa-A2C32R.jpg


Na kahama airport pia Shinyanga


Hio ni Kambarange!Rufaa iwapi tangia 2014?
Pambio tu za tuta... Ita...
 
True story.. mfano mwingine Rubya ipo Muleba, Kagera. Hospital ipi village ila vyumba kama hotel, kabati, Tv, choo na bafu bei haizidi 5000 mgonjwa kulazwa kwa siku. Kwenye hii sector wakenya tumewavua nguo.View attachment 1250699View attachment 1250701
Ni Tanzania pekee ambapo wagonjwa wanatoka mjini wanafuata matibabu kijijini sababu ya quality healthcare services provided
 
Avenue hospital, Kisumu

Hii ni hospitali ama dispensary?

More of Shinyanga referral hospital









Kahama district hospital in Shinyanga


leta dispesary moja ipo kama hivyo Kenya if ur county referral hospital zipo hivi

Taita Taveta referral county hospital

ob_545b37_moi-hospital.jpg


CuIKyN7-dNV9XTutduLdiRlafhwGplTGp376ylzWYrRc1mj0qIzkQXZLZ_9pHUvLKrVPLEAPoTgjGPTCanoh2hdqsPvi


moi.jpg
 
South Africa na Tanzania, ni nchi pekee kusini mwa Sahara ambazo 90% ya wananchi wake hutibiwa ndani ya nchi, na hupokea na kutibu wagonjwa toka nchi zingine za Afrika.

Wakenya viongozi na matajiri wote hutibiwa nje ya nchi, 90% ya wagonjwa wa MOYO na saratani Kenya hupelekwa India.
Watanzania wengi wanatibiwa ndani ya Nchi kwa kukosa namna na pia umasikini 😂😂😂
 
Post zenu
mimi na-post hii ipo Tunduma si hata referral hospital bali district hospital ni size ya Kenyatta teaching hospital na ipo mji waTunduma huko mpakani na Zambia nje ya makao makuu ya mkoa wa Songwe!









 
Sasa hapa unajiuliza hivi Tanzania ni LDC na Kenya siyo LDC unabaki ku smile tu. Huduma za kijamii Tz kwa Africa tupo mbali sana. Hata ukienda kwenye usafiri (majini, angani na ardhini) umeme, upatikanaji wa ardhi na sasa hivi miradi ya maji isiyo hewa inatekekelezwa kila kona ya nchi. Hili zoezi la National ID limalizwe haraka, tuta anza kupokea wakimbizi waki uchumi muda siyo mrefu.
 
Back
Top Bottom