Forget about Nairobi's Kenyatta teaching hospital, these are Kenya's county referral hospitals

picha mbili za hospitali ya serikali Shinyanga na ktuo cha afya shinyanga, ya Mkoa hiyo apo! Sahau sisi sio level yenu sahau baba! Huku SGR itapita na hata airport inapanuliwa to medium size!




Na kahama airport pia Shinyanga

Hio ni Kambarange!Rufaa iwapi tangia 2014?
Pambio tu za tuta... Ita...
 
Bungoma County referral hospital

 
Ni Tanzania pekee ambapo wagonjwa wanatoka mjini wanafuata matibabu kijijini sababu ya quality healthcare services provided
 
Avenue hospital, Kisumu

Hii ni hospitali ama dispensary?

More of Shinyanga referral hospital





Kahama district hospital in Shinyanga

leta dispesary moja ipo kama hivyo Kenya if ur county referral hospital zipo hivi

Taita Taveta referral county hospital





 
Watanzania wengi wanatibiwa ndani ya Nchi kwa kukosa namna na pia umasikini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Post zenu
mimi na-post hii ipo Tunduma si hata referral hospital bali district hospital ni size ya Kenyatta teaching hospital na ipo mji waTunduma huko mpakani na Zambia nje ya makao makuu ya mkoa wa Songwe!





 
Sasa hapa unajiuliza hivi Tanzania ni LDC na Kenya siyo LDC unabaki ku smile tu. Huduma za kijamii Tz kwa Africa tupo mbali sana. Hata ukienda kwenye usafiri (majini, angani na ardhini) umeme, upatikanaji wa ardhi na sasa hivi miradi ya maji isiyo hewa inatekekelezwa kila kona ya nchi. Hili zoezi la National ID limalizwe haraka, tuta anza kupokea wakimbizi waki uchumi muda siyo mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…