To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Barikiwa sana mkuu....since 2014 till now sijachelewa kweli...nahisi moyo ushakubuhuPole mkuu, jifunze kusamehe hali hiyo haitakutesa tena. wengi tumepitia ktk hali kama yako bt tulikubali kujifunza kusamehe.
Mkuu maisha yetu ni mafupi na yamejawa changamoto nyingi bt ukitaka kuyaishi kwa wepesi samehe.