Tatizo ni kwamba anaweza kubadilika baada ya miaka michache!Zaidi ya hapo hamna ubaya wowote ili mradi usimchezee mtoto wa watu!Msubirie kama bado nafsi yako itakua imeridhika nae hapo baadae na mwenyewe akikubali fanya kweli!
Ina wezekana sana tumewaona wengi tu na wamewasubiri wapenzi wao na wanaishi kwa upendo mpaka leo. matatizo yakikupata ni mipango tu ya maisha uliyopangiwa kuyapitia. umri si kigezo kaka angu ila jiandae kwenda kumsubiri bilcanas huku wewe kipindi hicho unasinzia na kukoroma pembeni ya speaker
Huo sasa ndo mtihani wako!Uko tayari kusubiria bila kujua matokeo yake?Uko tayari kupotezea baada ya miaka 10 umeshaoa mwingine alafu unaishia kujutia kwanini hukusubiri?Hapo ndo mimi panaponitatiza..naona kama ntakuw nimepoteza muda wangu bure...daah!
Mbona siyo age gap kubwa kiivo mkubwa?
Alafu hawa wa umri wetu si wanachukuliwa na baba zetu..sasa huoni ts just fair kutafuta mdogo kiivo!??
paedophile...aka FATAKI!!!!!!!!!!!! mnh:A S 13::A S 13:
Wakuu mkisikia uzinzi ulotukuka na tamaa mbaya ndio huu, yaani ushaanza kutamani kimwanafunzi, kwanza uache uonge kama kako f3 wewe unaweza kweli kukasubiri miaka zaidi ya 4 kweli :A S 13: mkuu unaelekea kubaya usikaharibie maisha katoto ka wenzio tafuta wa umri wako.....
Sijafika 30 mkubwa..niko <25 but almost there! hapo je??
Tamaa mbaya kaka