Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah mentor hapo umechemka, mpaka amalize form 6 wamaume wengine watakuwa wanasubiri nini? Au utamfunga mgomba?usisahau ukimwambia sa hivi umechemka koz utamfanya mtoto wa wa2 adate mwisho wa siku afeli, pia itakuwa hatari kwako.
Kupenda bwana ni ki2 kingine kabisa.sikushangai kwa kudata na huyo binti.Ila sikupi ushauri wa kumwambia sasa kwani atachanganyikiwa kiskul kwani wachache wanaoweza kubalance 2 thngs at ze sem time,pia kwa umri wako hamna ubaya kuja kuwa nae,lakini co kwa sasa. Pia kusubiri nako akampata mtu hasa akifika ktk level ya advance hapa wengi wanadatishwa,kwahiyo vuta subra kama kweli unampenda na endelea kuwa karibu nae kikawaida ujue anavyoendelea kitabia,hapo baadae hata akifika chuo unamtel,kwani muda uliobaki mwingi kimtazamo lkm pia co mwingi kimalengo!I THINK U GAT ME'