Wakuu mkisikia uzinzi ulotukuka na tamaa mbaya ndio huu, yaani ushaanza kutamani kimwanafunzi, kwanza uache uonge kama kako f3 wewe unaweza kweli kukasubiri miaka zaidi ya 4 kweli :A S 13: mkuu unaelekea kubaya usikaharibie maisha katoto ka wenzio tafuta wa umri wako.....
Najua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....
Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!
To the point:
Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!
Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..
ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!
Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??
sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!
Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??
Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!
Najua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....
Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!
To the point:
Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!
Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..
ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!
Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??
sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!
Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??
Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!
Pole Mentor...we songa mbele na maisha Kaka.... kimeo ni kwamba dogo bado yuko kwenye foolish age na bado anasafari ndefu ya kukutana na mambo kibao hapo alipo O level ...bado A level...chuoni ndo kabisaaaaaaa umempoteza ... (move on bro). Itaku cost na utakuwa umepoteza sana muda wako.. Nawasilisha
Hapo kwenye red umeanza vibaya kwa kuwa na defensive mechanism. Ila mi naona anaweza asiwe wako moja kwa moja. Kwanza hujatuonesha how far amekukubali mbali na wewe kutaka KUMFATAKI. Pili huyo mtoto hajawa na maamuzi ya kiutu uzima na wewe pengine ulitakiwa utuambie miaka yako na yake, kwa maana kwamba akiwa huko shule anaweza kupata chaguo lake na si la kaka ya rafiki yake,
TUWAACHE WATOTO WA KIKE WASOME NDUGU YANGU.
Ina wezekana sana tumewaona wengi tu na wamewasubiri wapenzi wao na wanaishi kwa upendo mpaka leo. matatizo yakikupata ni mipango tu ya maisha uliyopangiwa kuyapitia. umri si kigezo kaka angu ila jiandae kwenda kumsubiri bilcanas huku wewe kipindi hicho unasinzia na kukoroma pembeni ya speaker
Defense mechanism sometimes inasaidia...lol!
well, soma posts zilizopita kwanza ndo utajua nia yangu kwa huyu binti ikoje!!
Me nilimwambia wangu mapema toka 2001 akiwa form 4 na ndo nimemuoa/tumeoana mwaka huu! Mwambie tu mkuu ili ajue mapema kama ni kukumwaga au kukubali akwambie mapema...Mwambie ajue waweza fika wakati wa kuambiwa akakwambia mi nalikuwa nakuheshimu kama kaka yangu, au ukakuta umechelewa wenzako walishamwambia siku nyiiiiiingi, ukishamwambia usimharibu sasa muelekeze katika njia iliyo nzuri aje kuwa mke bora
haki elimu itakusuNajua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....
Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!
To the point:
Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!
Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..
ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!
Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??
sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!
Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??
Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!
dah mentor hapo umechemka, mpaka amalize form 6 wamaume wengine watakuwa wanasubiri nini? Au utamfunga mgomba?usisahau ukimwambia sa hivi umechemka koz utamfanya mtoto wa wa2 adate mwisho wa siku afeli, pia itakuwa hatari kwako.Najua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!To the point:Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!
vipi ile kazi ya jeshi ulishapata?Sijafika 30 mkubwa..niko <25 but almost there! hapo je??
mkuu hilo pozi la huyo sokwe wako bana, ananipa mzuka wa mtandao wetu wa bei nafuu, 071......!!dah mentor hapo umechemka, mpaka amalize form 6 wamaume wengine watakuwa wanasubiri nini? Au utamfunga mgomba?usisahau ukimwambia sa hivi umechemka koz utamfanya mtoto wa wa2 adate mwisho wa siku afeli, pia itakuwa hatari kwako.