Form 4 nao wana kesi ya kujibu kwa kufeli kwao

Form 4 nao wana kesi ya kujibu kwa kufeli kwao

chief72

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
627
Reaction score
306
Pamoja na lawama kwa serikali, lawama kwa walimu na lawama kwa wazazi kidogo, lakini lawama kwa wanafunzi wenyewe wa kidato cha nne 2012 hazikwepeki. Hainingii akilini kwa mwanafunzi aliyesoma miaka minne masomo 9 au 7, akose walau alama D mbili tu, ili awe na division four na apate cheti.

Kwa kifupi watoto wetu wana mengi, malavi davi (makopa) wao wanasema ndio mpango mzima, akitoka hapo ni ma facebook. Wanafunzi wana simu tena za gharama kuzidi hata ma headmastaz wao na wala hawajanunuliwa na wazazi wao. Wanafunzi wamejaa midharau kwa walimu wao vibaya mno, hawaheshimu hata chembe. Watoto wa kike ndo usiseme full kula bata na waume za watu.

Kwakweli hali ni mbaya.
 
ndugu uko sawa kabisa
sio serikali peke yao wamezembea labda kwa upande wa shule za kata kuna ukosefu wa walimu na vifaa hilo tunakubali
lakini hata wa mjini kwenye shule zenye kila kitu walimu na vifaa vya maabara nao wamefeli tena vibaya mno
sababu ni kama ulivoeleza hapo juu.
sio form 4 peke yao, hebu tusubiri na matokea ya form 6 utashangaa sana/
KUSHUKA KWA ELIMU SIO TANZANIA PEKEE,hata huku nilipo walimu wanasema wanafunzi ni wazembe sana utaandawazi umewaharibu sana wanautumia vibaya.
najua hapa form 4 watakushukia lakini ukweli ndio huo wa mtoa mada
 
Pamoja na lawama kwa serikali, lawama kwa walimu na lawama kwa wazazi kidogo, lakini lawama kwa wanafunzi wenyewe wa kidato cha nne 2012 hazikwepeki. Hainingii akilini kwa mwanafunzi aliyesoma miaka minne masomo 9 au 7, akose walau alama D mbili tu, ili awe na division four na apate cheti.

Kwa kifupi watoto wetu wana mengi, malavi davi (makopa) wao wanasema ndio mpango mzima, akitoka hapo ni ma facebook. Wanafunzi wana simu tena za gharama kuzidi hata ma headmastaz wao na wala hawajanunuliwa na wazazi wao. Wanafunzi wamejaa midharau kwa walimu wao vibaya mno, hawaheshimu hata chembe. Watoto wa kike ndo usiseme full kula bata na waume za watu.

Kwakweli hali ni mbaya.
a

Una hoja ya msingi mleta mada,ndio maana walikuwa humu kwenye JF wakiiulizia matokeo toka january,walikuwa wakisubiria miujiza!
Iwe fundisho kwa walioko mashuleni
 
Kweli chief72, wanafunzi wamezidi kuwadharau walimu wao ukizingatia kizazi cha sasa mwalimu na mwanafunzi kimo sawa au mwingine anamzidi mwalimu kimo basi wanafunzi wanahisi kama wako sawa na walimu wao au hawapishani nao sana, wanasahau mwalimu ni mwalimu muwe kimo sawa au umzidi. Mfano hai ni wa wanafunzi shule moja ya sekondari hapa Tanzania (jina kapuni) mwalimu wa kiume kaingia darasani masikini mwalimu mwenyewe ndio vile hana kimo, kalisalimia darasa ambalo ni la wanafunzi wa kiume peke yao (maana wametenganishwa 'me' kivyao na 'ke' kivyao) 'Good Morning' hawakuitikia vizuri karudia tena wakaitikia 'Good Morning MADAM'. Kisa ni kirefu... lakini unategemea baada ya tukio hili mwalimu huyu atafundisha kwa moyo mmoja kweli?
 
Last edited by a moderator:
chief72;

Naunga hoja mkono kwa 75%


Pamoja na lawama kwa serikali, lawama kwa walimu na lawama kwa wazazi kidogo, lakini lawama kwa wanafunzi wenyewe wa kidato cha nne 2012 hazikwepeki. Hainingii akilini kwa mwanafunzi aliyesoma miaka minne masomo 9 au 7, akose walau alama D mbili tu, ili awe na division four na apate cheti.

Kwa kifupi watoto wetu wana mengi, malavi davi (makopa) wao wanasema ndio mpango mzima, akitoka hapo ni ma facebook. Wanafunzi wana simu tena za gharama kuzidi hata ma headmastaz wao na wala hawajanunuliwa na wazazi wao. Wanafunzi wamejaa midharau kwa walimu wao vibaya mno, hawaheshimu hata chembe. Watoto wa kike ndo usiseme full kula bata na waume za watu.

Kwakweli hali ni mbaya.
 
Last edited by a moderator:
Una hoja ya msingi mleta mada,ndio maana walikuwa humu kwenye JF wakiiulizia matokeo toka january,walikuwa wakisubiria miujiza!
Iwe fundisho kwa walioko mashuleni

Halafu wote wamepotea siwaoni tena humu...Hakika vilaza wale walikuwa wanasumbua sana kwa siku thread kaa tano za kuhusu matokeo...Matokeo yametoka wametaga hatuwaoni humu tena...
 
ndugu uko sawa kabisa
sio serikali peke yao wamezembea labda kwa upande wa shule za kata kuna ukosefu wa walimu na vifaa hilo tunakubali
lakini hata wa mjini kwenye shule zenye kila kitu walimu na vifaa vya maabara nao wamefeli tena vibaya mno
sababu ni kama ulivoeleza hapo juu.
sio form 4 peke yao, hebu tusubiri na matokea ya form 6 utashangaa sana/
KUSHUKA KWA ELIMU SIO TANZANIA PEKEE,hata huku nilipo walimu wanasema wanafunzi ni wazembe sana utaandawazi umewaharibu sana wanautumia vibaya.
najua hapa form 4 watakushukia lakini ukweli ndio huo wa mtoa mada


tupe uzoefu mkuu, wapi huko uliko???
 
Back
Top Bottom