Duh! watu 98 kwa combination nne...?!!
selection tayari, zipo wapi? mi nasema bado coz hazijatoka tukaziona
Majina ya form five waliochaguliwa yashatumwa kwenye mashule,na kwa sasa wanaandaa joining instructions kwa shule niliyoona majina hayo,shule hiyo imepelekewa wanafunzi 98 kwa comb ya HGL,HGE,EGM NA HKL.na barua hiyo inaonyesha kuripoti ni wiki ya mwisho mwezi huu
kwa form five hata mwenyewe nimeshudia shule fulani second master anaandika address za wanafunzi
98 Kwa Comb Nne Inamaana 24 Kwa Kila Comb
dah! mkuu hapo nishule ya serikal je private itakuaje.