Noel Leonard Mgeni
Member
- May 29, 2013
- 62
- 42
Kwa taarifa nilizonazo nafahamu kwamba Form Six wanaanza muhula mpya kuanzia tarehe 8/7 na kuendelea, kinachonisumbua akil NI kwamba had sasa. form five SELECTIONS kwa madogo tulomaliza last one year bado hazieleweki NI lini zinatangazwa! kwa aliye na taarifa atufahamishe! Asante sana!