lachicaguapa
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 269
- 72
Nasikitika sana kuona wanafunzi wa form four wanachezea elimu hasa wanapopata nafasi ya kusoma chuoni baada ya matokeo kuwa mabaya.
Kwenda form six sio kwamba Ndio unaakili sana, na pia msidhani kusoma certificate haiitaji kusoma kwa bidii. Elimu yoyote hata mafunzo ya kupika yanahitaji mahesabu na ujue lugha. Msitese walimu kwa kufeli kwenu. Angalia ni heal ngapi mzazi ametoa kukuendeleza na juhudi ambazo mwalimu wako anazifanya ili uweze kujitegemea ukishaanza maisha..... Ushauri....sa sa
1. Usisome Kozi ya certificate ambayo huiwezi na hupendi bora urudie mitihani upate akili nini unahitaji kusoma..
2. Usidharau wazazi na walimu wanaokushauri kuhusu nini usome, maana hao wanna kujua zaidi kuliko marafiki wanaokudanganya,
,,,,,,,,,.....
Kwenda form six sio kwamba Ndio unaakili sana, na pia msidhani kusoma certificate haiitaji kusoma kwa bidii. Elimu yoyote hata mafunzo ya kupika yanahitaji mahesabu na ujue lugha. Msitese walimu kwa kufeli kwenu. Angalia ni heal ngapi mzazi ametoa kukuendeleza na juhudi ambazo mwalimu wako anazifanya ili uweze kujitegemea ukishaanza maisha..... Ushauri....sa sa
1. Usisome Kozi ya certificate ambayo huiwezi na hupendi bora urudie mitihani upate akili nini unahitaji kusoma..
2. Usidharau wazazi na walimu wanaokushauri kuhusu nini usome, maana hao wanna kujua zaidi kuliko marafiki wanaokudanganya,
,,,,,,,,,.....