Form six baada ya kutoka jeshini

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
5,727
Reaction score
6,615
Habarini wadau! ebana mimi naomba kujua baada ya six kutoka jeshini kwenda vyuoni itakuwa mwezi wa ngapi? je na kwa wale wa diploma wanaotaka kuunga watawasubiria six wamalize au? swali nalouliza je, chuo itakuwa mwezi wa ngapi?

nawasilisha!!!!!!!!!!!!

:help: :help: :help: PLZ..........................
 
mwana hicho bado kizingumkuti,nasikia kuna ubishani mkubwa bainas ya TCU, NACTE na JKT,manake wanadai kuna batch nyingine wanatakiwa waende jeshi mwez wa tisa hivyo mwaka wa masomo uanze january mwakani,lakini kuna habari kuwa vyuo na TCU hawajakubaliana na hilo,hadi sasa cjajua muafaka ni nini?
 


Nashukuru mkuu kwa jibu lako
 
Mbona jkt nacho ni chuo tosha, hilo uwe mpole utapata jibu zuri wakati ukija vyote vitafanyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…