CharlesMunyaka
Member
- Jul 24, 2014
- 65
- 3
kwa wale form six uliza any question kuhusu kujaza ud na probability ya kuchaguliwa kulingana na ufauli huu mpya
Xaxa xi ndo ashazoea hivyoHumu huwa hatutumii hizo xaxa, xixi unaeza ona watu hawakujibu kwa sababu ya hilo kosa
Hii nchi wameiua jamani kielimu uyu nae ni form six anatakiwa akasome bachela tena ndio mjanja wa wenzake anawapa info za chuo tumekwisha hao wenzake watakua wanajua ata kusoma kweli???
Kawambwa nini hiki unafanya?