Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 505
- 872
Kama wewe ni mhitimu wa Kidato cha Sita umepata DEE, EEE, CSS, EDS, ESS, DSS, EES, EEF, DEF, kwa ufupi, kama huna D mbili kwenye masomo yako lakini una Pass Moja na Subsidiary Moja jiunge Foundation Program ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ili upate sifa ya kujiunga Degree katika vyuo vikuu mbalimbali.
Tuma maombi yako Bure kupitia www.out.ac.tz
Masomo yataanza mwezi Novemba 2022 na kukamilika Juni 2023. Tuma maombi yako sasa hivi. Ada ya programu nzima ni 690,000/= ambayo hulipwa kwa awamu.
Kwa maswali niandikie sms kupitia 0719017254 nitakupatia majibu.
WENU
Dkt. Mohamed Maguo
Mhadhiri na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Tuma maombi yako Bure kupitia www.out.ac.tz
Masomo yataanza mwezi Novemba 2022 na kukamilika Juni 2023. Tuma maombi yako sasa hivi. Ada ya programu nzima ni 690,000/= ambayo hulipwa kwa awamu.
Kwa maswali niandikie sms kupitia 0719017254 nitakupatia majibu.
WENU
Dkt. Mohamed Maguo
Mhadhiri na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania