Form6 kuweni makini mnaoaply vyuo msikurupuke.

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
:yell:Jana nlikua Naangalia F6 Mmmoja anomba chuo Msumbiji na pia Ukiangalia ana PCB ..EEE.Sasa nashangaa Sana Kuona anaomba Fucult of Medicine.Nyie Form 6 Someni Guide Book Kwanza uangalie Vigezo na Masharti Y a Fani Uombayo.Msikurupuke maana Itakula kwenu.
 
I see inasikitisha sana utakuta mtu ana E flat afu anaomba Doctor of medicine Muhimbili !!
Afu ukiwashauri ni wagumu sana kuelewa !!
 
I see inasikitisha sana utakuta mtu ana E flat afu anaomba Doctor of medicine Muhimbili !!
Afu ukiwashauri ni wagumu sana kuelewa !!
kwanza anaiapply vipi wakati minimmum ni 6 cut off points
 
wengi wanaangalia mkopo na vyuo vya serikali - dalili kuwa serikali ingeangalia upya sera yake ya kukopesha maana wazazi walio wengi hawajimudu. kitakachotokea wengi watatemwa kwenye first selection na kupangiwa kozi na vyuo wasivyotegema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…