Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,234
- 1,815
Alazwe anapostahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alazwe anapostahili
RIP Kiviutu ni bahati mbaya ameshindwa kushuhudia mshindi wa kweli Kenya akitangazwa, naomba sana kwa mwenyezi Mungu Kiviutu wetu ashuhudie mshindi halali akitangazwa.Aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya ambaye ni LL.B Graduate wa Udsm hatunaye tena zikiwa zimebaki siku chache za uchaguzi nchini Kenya,huyu jamaa alikiri kwamba yeye mwenyewe alikuwa hajui nani mshindi japokuwa alimtangaza Kibaki kuwa rais.
Source:Citizen TV Nipashe
Aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya ambaye ni LL.B Graduate wa Udsm hatunaye tena zikiwa zimebaki siku chache za uchaguzi nchini Kenya,huyu jamaa alikiri kwamba yeye mwenyewe alikuwa hajui nani mshindi japokuwa alimtangaza Kibaki kuwa rais.
Source:Citizen TV Nipashe
AfAdhali amekufa alileta shida sana.
No this is uncalled for,hatuombei wala ku-celebrate kifo cha binadamu.Afadhali Nanyaro Ephata aliposema 'Alazwe anapostahili'
Alazwe anapostahili