kwako ndio haikuwa valid bibie kwa sababu ya kupenda kwako malumbano na kudhan wakati wote upo sahihi jifunze kupokea challenges. mimi nimesema sio kila aliye mnene ni uzembe wake bali wengine ni asili yao tu, na sikusema wanene wote dunian ni asili yao ss we bidada umetoka huko mbio unaleta ligi
mara ooh na weupe wa mkorogo je nikakujibu mi sijazungumzia hilo..........hukuchoka ukarudi tena oooh na maumbo bandia je? nikakushit ......... sasa eti unajifanya ujumbe wangu haukuwa valid. bibie narudia tena huwa sinaga tabia ya kulumbana na wanawake wenzangu humu so behave youself tena unapotaka kuargue na mtu argue kupitia maandishi yake yale yale usilete fikira zako zingine, mi niongee kingine we ulete ubishi wa jambo lingine ambalo mi sijaliongelea kabisa...kama hukunielewa rudia tena post kusoma.