Former Miss World, Agbani Darego Without Make-up

kwako ndio haikuwa valid bibie kwa sababu ya kupenda kwako malumbano na kudhan wakati wote upo sahihi jifunze kupokea challenges. mimi nimesema sio kila aliye mnene ni uzembe wake bali wengine ni asili yao tu, na sikusema wanene wote dunian ni asili yao ss we bidada umetoka huko mbio unaleta ligi
mara ooh na weupe wa mkorogo je nikakujibu mi sijazungumzia hilo..........hukuchoka ukarudi tena oooh na maumbo bandia je? nikakushit ......... sasa eti unajifanya ujumbe wangu haukuwa valid. bibie narudia tena huwa sinaga tabia ya kulumbana na wanawake wenzangu humu so behave youself tena unapotaka kuargue na mtu argue kupitia maandishi yake yale yale usilete fikira zako zingine, mi niongee kingine we ulete ubishi wa jambo lingine ambalo mi sijaliongelea kabisa...kama hukunielewa rudia tena post kusoma.
Mmh basi mwenzangu we ndo unataka ligi.. Ukweli ni kuwa iyo point yako uloisema mwanzo haiko valid. Bye
 
mhh jamen tuseme tu lakini tujue kwamba hatujaumbwa sawa dunian .....kuna watu wanene, wafupi warefu n.k. wakati mwingine mtu unaweza kuwa na asili ya unene tu unaweza kufanya diet hadi upate kwashakoo lakini unene utakuja tu

Ni Kweli.....Na Kumaintain Wembamba Haimaanishi Ndio Urembo........
 

na hata sitaki kulumbana na mtu humu wala kuanza kutoa maneno ungenishit wala usingeendelea kujibi... kwa heri na si kwamba nimekuqote kwa ugomvi nadhani ulipanick na kunielewa vibaya tu ndugu. kwa heri!
 
na hata sitaki kulumbana na mtu humu wala kuanza kutoa maneno ungenishit wala usingeendelea kujibi... kwa heri na si kwamba nimekuqote kwa ugomvi nadhani ulipanick na kunielewa vibaya tu ndugu. kwa heri!

I'm done!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…