Formula 1® Grand Prix special thread

Tarehe 17 jumapili mida ya Saa 9 mchana tutakua Singapore, Marina Bay Street Circuit (4.940 km).

Tutaanza na Mazoezi Ijumaa tarehe 15, tutakuja qualification (grid) tarehe 16 Ijumaa hafu race yenyewe jumapili.

Tunajua Max, the Mad Max, the Super Max atabaki kileleni ila tunaenda kuangalia tu P2 atashika nani.

Kwa wakazi wa Dar kiwanja ni kilekile Fish Market, wengine mnaweza share viwanja vipya tukajumuike.
 
Kesho Singapore.

Inaniuma Mad Max the Max the Super Max ataanza number 11.

Qualify imeisha leo.



Kwahiyo kesho saa 10 muwepo hapa mmekula. Kabisa.
 
Kesho ile ubeaten ya Red bull inaenda kutamatika. Ila kwa vile Singapore ni street circuit lolote linaweza kutokea maana safety cars zitakuwa ni nyingi hivyo Max na red bull bado watakuwa na nafasi ya kuendeleza record..
 
Kesho ile ubeaten ya Red bull inaenda kutamatika. Ila kwa vile Singapore ni street circuit lolote linaweza kutokea maana safety cars zitakuwa ni nyingi hivyo Max na red bull bado watakuwa na nafasi ya kuendeleza record..
Hii comment naiweka. Utajuta.
 
Huyu dogo namuogopa. Jana alichukua Pole kwenye quali aisee.. Ferrari nawaogopa KWENYE corners... They are quick.. ila yote heri.. Redbull for life

 
Nadhani hii itakuwa ni Gp yenye actions nyingi zaidi, Imagine red bull wako nyuma na wanataka ku maintain unbeaten record yao, msako utakuwa ni wa moto sana
 
Akiongea na wanahabari, Max ameonesha kukubali kuwa hawana speed hapo Singapore na overtaking ni ngumu...

Tayali kishaannza kutoa visingizio...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…