Formula 1® Grand Prix special thread

Country Driver Points
1 Ger S Vettel 161
2 GB J Button 101
3 Aus M Webber 94
4 GB L Hamilton 85
5 Spa F Alonso 69
...Gap aliloweka Vettel linaweza kuwa covered katika race mbili kwa mantiki kwamba hizo race zote Vettel awe not classfied (apate balaa kama HAM leo) vinginevyo Mc Laren wataisoma namba tu
 
Sad kwa H. Hamilton but was happy alivyotulia no jazba..Poor Alonso nae alivyotoka, nilimwonea huruma..
Ilikuwa long GP kuangalia jana halafu tofauti ya masaa...kudoz to Button!!..
 

nilitegemea angefanya vitu vyake kama kawaida siku za mvua, lakini ndio hivyo tena...
bahati nzuri Jenson Button gari yake haikuathirika. Ingekuwa disaster kwa team Maclaren.

Yani acha tu mana jamaa kwenye mvua anakokota vizuri ila ndiyo hivyo hajaambulia hata point leo..I'm so glad alivyokuwa calm, asiongee -ve things...Button kawaokoa McLaren!
It was good mvua kunyesha na kumwona Rihanna under her umbrella🙂) ha ha ha
 
Country Driver Points
1 Ger S Vettel 161
2 GB J Button 101
3 Aus M Webber 94
4 GB L Hamilton 85
5 Spa F Alonso 69
...
Edited...

CountryDriver Points
1.GERS. Vettel161
2.GBJ. Button101
3.AUSM. Webber94
4.GBL. Hamilton85
5.SPAF. Alonso69
 
European Grand Prix: Pole Position
1.S. VettelRed bull Renault
2.M. WebberRed bull Renault
3L. HamiltonMcLaren Mercedes
4.F. AlonsoFerrari
5.F. MassaFerrari


 
Nazisubiria kwa hamu..Huyu Vettel anatakiwa kuthibitiwa maana anawezapoteza ladha ya ushindani kama ataextend gap
 
Dah naona nimepata pit lane na mie mapema lol!
 
Mtanzania mwenzetu Hamilton kaanguka kidogo lol Vattel aharibu itakuwa vizuri.
 
I THINK,next year,F1 will have to change its tyre policy,cause its no longer about driving skills-tyre degradation has become too much of a deciding factor hence losing the sport its zeal
 
Sasa race imeanza kuboa, yani Vettel kazidi ku-dominate!!..sina haja yaj kuangalia GP ya 10th July ya Great Britain mana kama kawaida ataibuka kidedea..
Oooh boy! so boring!!
 
Sasa race imeanza kuboa, yani Vettel kazidi ku-dominate!!..sina haja yaj kuangalia GP ya 10th July ya Great Britain mana kama kawaida ataibuka kidedea..
Oooh boy! so boring!!


Inaboa kweli yaani kila nikiona Vttel kachukua Pole pstion nakuwa sina hamu ya kufutilia. Napenda nione uzoefu na utaalamu wake wa kushinda akiwa nyuma

I THINK,next year,F1 will have to change its tyre policy,cause its no longer about driving skills-tyre degradation has become too much of a deciding factor hence losing the sport its zeal

Tena tuwashukuru Pireeli maana hata huo uhondo tunaofaidi ni sabbau ya hizo tairi bila hivyo F1 ingeboa sana. Watakachobadilisha ni Engine Policy tena kwa ajili sasa inaonekana Redbull hana mpinzani.

Watakuwa hawatendie haki Red Bull lakini itabidi wafanye hivyo ili wawe sawa japo kiasi na wenzao.
 
Code:
1 Sebastian Vettel    Ger                    Red Bull-Renault   186 
2 Jenson Button       GB                     McLaren-Mercedes   109 
3 Mark Webber         Aus                    Red Bull-Renault   109 
4 Lewis Hamilton      GB                     McLaren-Mercedes    97 
5 Fernando Alonso     Spa                    Ferrari             87
Kwa mwendo huu ni dhahiri hakuna utamu tema ataweza kutangazwa mshindi zikiwa bado race nne mbele kuisha!!
 
British Grand Prix - Qualification Results

1.Webber
2.Vettel
3.Alonso

 
Kesho nasubiria matokeo tu, naona timu yangu no matumaini hata kidogo!!..atleast Kibs unaweza kufurahishwa na Ferrari🙂))
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…