Formula 1® Grand Prix special thread

Formula 1® Grand Prix special thread

Hawa mercedenz kwenye qualification wanafanya vizuri lakini at the end wanachemka.
 
Hawa mercedenz kwenye qualification wanafanya vizuri lakini at the end wanachemka.

Infinity Redbull wana drivers wazuri na pia manufacturer ranking iko poa. Lewis Hamilton haaminiki bora hata Nico Rosberg....
 
Leo ni Gran Premio D'Italia.... who's it gonna be?
 
Ili kuona F1 kesho, itabidi kulala mapema na bila kushindilia bia kwa wingi... Korea GP 2013
 
The Indian Grand Prix,
Sebastian Vettel kutetea taji lake leo?
 
Hata kama si mshabiki wa Vettel you have to admit, dogo mbaya sana.

Swali, kwanini ni gari la Webber tu ndio hupatwa na matatizo?
Leo alikua vizuri sana na angeweza hata kushinda then kama kawa gari ikazingua, alternator tumeambiwa.
 
Sebastian Vettel is the 2013 F1 World Champion with Flawless win in India.

Rosberg na Roman wakimaliza nafasi ya pili na ya tatu respectively
 
Hongera Vettel, Bingwa kwa mara ya nne mfurulizo! Team Ferrari mna kazi kubwa!
 
kibunango mzee wa F1 Kumbe upo? Ah vattel katunyamazisha wengi F1 mpaka tumeamuwa tusitizame is unajuwa ushabiki wetu kwa Hamilton ila Hamilton sijui ila ndio Kwisha kazi bora angeenda red bull au Ferrari Kule Yule Boss ndio anaondoka Mie nimefuahi Ice Man kimi raikenen ana kwenda Ferrari kurudisha heshima ya Ferrari Kimi raikenen na Hamilton ndio ma driver wangu. Well done Vattel. belindajacob kapotea naye.
 
Vettel ameendelea kujikusanyia rekodi baada ya ushindi wa leo Abu Dhabi GP. Ushindi wa leo ni wa saba katika msimu huu hivyo kuwa sawa na Micheal Schumi kwa kuweza kushinda mara saba mfululizo katika season moja!

Pazi, Hamilton alikuwa katika wakati mgumu siku ya leo huku Kimi akistaafu kabla ya hata kufika kona ya pili...

Ferrari wameendelea kujivuta ili kuweza kupata japo nafasi ya pili katika constrution ingawa bado nafasi hiyo ipo wazi kwa Mercedes...

Coming up ni Texas GP
 
Msimu wa F1 kwa mwaka 2013 ndio unafikia ukingoni..huko Brazil siku ya kesho
 
F1 inahitaji overhauling ya hali ya juu sana,otherwise the sport will die-we no longer -sit on the edge of our seats when its on. itabidi warudishe refuelling na warudishe sharia ya zamani ya matairi
 
Kurudi nyuma naona sio rahisi tena zaidi ni kutegemea mabadiliko mengine zaidi na hasa kwenye wa engine.
 
new season ya F1 inakaribia kuanza.kuna mabadiliko makubwa ya engine kutoka normal aspirited v8 engine to turbo-charged v6.mambo ya mazingira hapa yanataka kutuondolea uhondo.lakini power ya magari itabaki ile ile around 750bhp.[bhp ya gx110 ni kama 180 hivi] engine rev imepunguzwa kutoka 18000rpm mpaka 12,000rpm[gari yako na yangu zina range btn 6000-8000rpm.i cant wait for the first race.
 
new season ya F1 inakaribia kuanza.kuna mabadiliko makubwa ya engine kutoka normal aspirited v8 engine to turbo-charged v6.mambo ya mazingira hapa yanataka kutuondolea uhondo.lakini power ya magari itabaki ile ile around 750bhp.[bhp ya gx110 ni kama 180 hivi] engine rev imepunguzwa kutoka 18000rpm mpaka 12,000rpm[gari yako na yangu zina range btn 6000-8000rpm.i cant wait for the first race.

Nina hamu sana na huu msimu mpya, ngoja tuone kama kuna team itamaliza ubabe wa Redbull na Vettel wao
 
Nina hamu sana na huu msimu mpya, ngoja tuone kama kuna team itamaliza ubabe wa Redbull na Vettel wao

so far RED BULL wana struggle kwenye testing....itakuwa vizuri maanake f1 ilipoteza taste kwa sababu ya RED BULL DOMINANCE
 
so far RED BULL wana struggle kwenye testing....itakuwa vizuri maanake f1 ilipoteza taste kwa sababu ya RED BULL DOMINANCE

Team owner wao anasema ubingwa haupatikani Yerez-Melbourne na tatizo lao ni la engine ya Renault na sio RB10, anaamini team yake imefanya kazi nzuri na ana uhakika they will came good

Ila kwa upande wangu ningependa kuona Ferrari na Mercedes wanatoa upinzani wa kutosha safari hii na if possible mmoja wao awe bingwa preferably Kimi/Hamilton.
 
Wazee wa F1 mpoo? TCleverly na Kibunango

Naona F1 2014 imeanza na utata kidogo hususani kwenye mlio wa magari, Vettel anasema mlio wa hizi V6 Engines, it's shit na baadhi ya mapromota wamelalamika wakisema huu mlio umepunguza "mzuka" wa mashindano. Sijui wakuu mna maoni gani

Last week kama matarajio ya wengi, Mercedes walikua na easy ride to victory pamoja na setbacks za gari la Hamilton. Ricciardo akinyang'anywa nafasi yake ya pili kwa kosa la kuexceed the maximum fuel flow rate of 100kg/h, according to the FIA sensor fitted on his car, kosa ambalo team yake umekataa na wamekata rufaa wakiamini ni sensor yenye tatizo na sio gari lao.

Nipo nasubiri Qualifying Race ya Sepang, Kuala Lumpur Malaysia iliyocheleweshwa na mvua iliyokua inaanguka hapa.
 
Last edited by a moderator:
Lewis Hamilton takes pole position, with Sebastian Vettel and Nico Rosberg coming second and third respectively
 
Back
Top Bottom