Haaaa haaaa haa! haya Mkuu, naona dongo kwa aina yake kwa #TeamFerrari ... Vettel bado kukubali kama keshapoteza ubingwa wake!Na kubakia na entertainments za Alonso na Vettel wakigombania 5 position hahaha...
Helmet ya Mkoloni Nico imekaa vema na nyota zao nne, kinachofurahisha ni kuwa Ferrari wanaonyesha mafanikio makubwa huko ujerumani.
Hivi Mdhamini wa Tanganyika ataweza kumkaribia Mkoloni Nico?
Yap, Baada ya ukoloni wa Ujerumani si Tanganyika ikawa chini ya udhamini wa Uingereza? au nimesahau Historia? Naona Timu ya Tanzania imeshaingia Glasgow
FP3 live now! Naona ground temperature inazingua sana teams leo....
Susie Wolf ni yupo kwenye F1 au amepewa nafasi ya kujifurahisha na Team ya kina Massa? Suisse Wolf ni mwanamke atakuwa wa kwanza kuendesha F1? Yoyote mwenye jibu Naomba.
Hamilton namuaminia ila hivyohivyo na wasiwasi naye kwenye pit huko Leo Mkoloni anayo kazi Yule Bwana Harusi.
Hamilton namuaminia ila hivyohivyo na wasiwasi naye kwenye pit huko Leo Mkoloni anayo kazi Yule Bwana Harusi.
Poleni #TeamMdhamini ... ila kesho atakuwa na kazi ya kuovertake!Haya Hamilton huyoo out of qualification
Poleni #TeamMdhamini ... ila kesho atakuwa na kazi ya kuovertake!