Formula 1® Grand Prix special thread

Oooh Mimi sio Shabiki sanaaa wa Magari,ila sikujua Kama kuna Thread ya Magari yanayofanyika Monaco humu!Thats Good!
Alonso,Hamilton,nk,Mji tuu wa Monaco ndo furaha Yangu.umenikumbusha mbali sana kipindi Fulani!Its a Monaco Rally!Ni Mji wa kipekee Europe!Naishia hapo nisije nikaanzia Mada tofauti!
It's me Monaco!
 
Lewis Hamilton bdo anaongoza masafa msimamo bdo haujabadilika katika wale sita wa juu na hakuna ajali mpaka muda huu...ilaa Lewis Hamilton ni anakimbia sana kuliko mshirika wake Nico rosberg Lewis anaongoza kwa sekunde 4.587 na sasa ni mzunguko wa 29/78
 
Wajameni kama LH anatoka na Kendall Jenner najitoa kumsapoti..... not this family plz Lewid ur better than this.......

Mamaa its not confirmed kama lewis hamilton anatoka na huyo model ila kendall amedai kuwa.ye ni shabiki mkubwa wa LH na hapa nahisi ye kendall na wenzake watakuwa katika Podium ya washindi
 
Ahaaa LH amemzunguka mtu aiseee ni katika mzunguko wa 32/78 LH hamilton anaongoza kwa sek 9.001 dhidi ya Nico Roseberg ambae yupo nafasi ya pili
 
Kimi raikonen kapanda nafasi ya 5 huku Daniel Riccardo akishuka hadi ya 6...bdo LH anaongoza mbio za monaco kwa sekunde 8.314 dhidi ya mpinzani ake Nico Roseberg
 
Fernando Alonso amefikia mwisho wa mbio zake leo baada ya kupata gari yake kupata hitilafu(technical problems) akiwa katika mzunguko wa 44/78.
 
RACE IMEANZA MOJA SASA NR KIONGOZI AKIFUATWA NA LH hapa ni balaa lewis alikuwa na sek 21 zaidi ila ajali ikatokea na magari yote yakawa nyuma ya safety car
 
Good boy Nr God bless u...Lh ur my boy but not with K, Jenner....
 
Yaani Mkuu nimeshikwa na donge sana. Nilijua leo LH anashinda maana alikuwa ameweka gap kubwa, lakini baada ya ile ajali nikabaki kushangaa tu LH kutoka nafasi ya kwanza hadi ya tatu huku zikiwa zimebaki 7 laps only. Kwa kweli imeniudhi sana kuona kaburu anashinda wakati hakustahili kushinda.

Na hapo Monaco ukishakamata pole ushindi ni wako labla gari izingue, mkoloni atakua mwekundu leo

Maria Roza ule mpango wa kumbebesha BAK pochi yako wakati unajivinjari na Lewis umeishia wapi? Maana jamaa anazidi kutakata mfukoni, lol
 
LOOOH too bad for LH today guys MERCEDES AMG wapo katika kikao cha kuweka mambo sawa kabla ya kuondoka MONACO
 
Mkuu, hivi walimpita vipi? Nilitoka kidogo na kukuta mambo yamebadilika.

Kwa nini walimuita kwenye Pitstop wakati kuna ajali?

Mariaroza huyo Mamaa kapinda si kawaida. Mambo ya Sheick Manala na King King, Waganda wapo juu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…