Ha ha ha ha mJerumani njeeee...Lewis anaongoza kwa 9secKarma is a bitch pole Sebastian...
Lewis Hamilton wins Singapore grand prix...
Baada ya zile ajali hakukuwa na laps tena. Ila race ilitakiwa iishe after 2hrs.Hivi Leo kulikuwa na laps ngapi? Hongeraaa kwa Lewis
Zilikuwa 61....Hivi Leo kulikuwa na laps ngapi? Hongeraaa kwa Lewis