Formula 1® Grand Prix special thread

Vettel is out due to break failure. Ferrari wanashindwa hata nyumbani. Hii ni aibu!
 
Ham with a 7 second lead ... ... . anaendelea kuchanja mbuga ... .....
 
Ferrari labda ni janja yao kufanya F1 ionekane very boring kwa sababu LH anakaribia kuvunja record yao ya WC!!
Sijui pengine kweli, kwa mwendo huu Ham atakuwa best driver sooner than expected .... .... wazungu hawapendi mafanikio ya mtu mweusi. lakini hata Bottas analalamika gari lake lina joto sana ..... ..... since last two week analalamika .... .. . Ham lead now 12 seconds
 
Safety car is out. Lewis Hamilton's 14-second lead has been wiped out.
 
Yeah.. Bottas amekuwa akilalamika kwa muda sasa kwamba hizo black overall zina joto! Ana point lakini wengine wamekuwa wakimwusisha na black lives matter!
 
Ham might be penalised for entering Pit lane ... .... .. when closed, Giovinazzi has already penalised 10 for the same offense second ... .. Ham worried .. . . Leclerc has a power failure ... .out .. .
 
Ham penalised 10 seconds .. .. stop and go .. .
 
Race suspended .. .. after that crash of Leclerc .... . no one knows who will win this race .. ... ...
 
Race suspended .. .. after that crash of Leclerc .... . no one knows who will win this race .. ... ...
LH hizo 10 seconds kusubiri wakati wa race imeanza. Hatakuwa kwenye position nzuri. Big blow to him!!
 
Lewis Hamilton is marching furiously through a corridor here.

"He's seemingly been to see the stewards to talk about the lights," says Martin Brundle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…