Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
penalty kapewa ila ilikua ni adhabu ndogo sana ukilinganisha na kosa.But I think Lewis will get penalty.
Ni kwa sababu ya kugongana na Max.... na zaidi kwa jinsi alishoshangilia ushindi wake ilhali Max skies HospitalWakuu mbona huu ushindi wa Hamilton wazungu wanaupinga sana... Naona wazungu wana mtukana sana mpk wanamwita gorilla kwenye page ya insta
aligonga gurudumu la nyuma la dreva mwenzake na kusababisha ajali. jambo ambalo limeonekana alifanya kusudi.Wakuu mbona huu ushindi wa Hamilton wazungu wanaupinga sana... Naona wazungu wana mtukana sana mpk wanamwita gorilla kwenye page ya insta
mkuu hebu angalia hii clip nani alikua wrong hapo..!?Ni kwa sababu ya kugongana na Max.... na zaidi kwa jinsi alishoshangilia ushindi wake ilhali Max skies Hospital
By the way Redbull wameshtumu sana kauli za ubaguzi zilizotolewa, na wametaka vyombo vinavyohusika kuchukua hatua...
na hiii piamkuu hebu angalia hii clip nani alikua wrong hapo..!?
mkuu hebu angalia hii clip nani alikua wrong hapo..!?
Lewi alikua ana kosa hapo na ameniudhi kinoma nomamkuu hebu angalia hii clip nani alikua wrong hapo..!?
Ukiaangalia hio kona hapo mkuu huoni max alikua mbele?Kitabia Max siku zote amekuwa aggressive na hasa kwenye kuovertake au anapolinda nafasi yake.
Hamilton alikuwa tayali keshapata racing line huyo Max alitakiwa kurudi nyuma na kumpisha Hamilton... lakini kutokana na mazoea yake yeye Max alitegemea kuwa Lewis ataback down kama kawaida...
Matokeo yake ndiyo hiyo ajali... Kimtazamo wangu naungana na huyo mtangazaji kama ni racing incident...
Ina future Max ajue kuwa kuna wabishi vilevile kama yeye..