Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
Kimi anazidi kijipalia makaa baada ya ajali hii ya leo
Mtamreplace na nani? Hulkenberg?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimi anazidi kijipalia makaa baada ya ajali hii ya leo
Bado mapema, ila naona future yake inazidi kuwa slim katika Ferrari
Haya waengereza wanashangilia nani button au Hamilton? HAM anashangiliwa wa pili sasa.
Alonso Ferrari nayo Leo inauhai angalau kibunango atafurahi hata Mie nafurahia kuona upinzani.
Hehehehe ngoja kibunango akusome alafu aseme Hamilton amalizi race mara inakuwa Hivyo tutabaki Bundi hehehehe.Upinzani wa kubishana na Force India?
Hehehehe ngoja kibunango akusome alafu aseme Hamilton amalizi race mara inakuwa Hivyo tutabaki Bundi hehehehe.
Haa haaa haaaa ......! na, hao waangalizi wameshaanza nongwa zao kwa Ferrari...Hehehehe ngoja kibunango akusome alafu aseme Hamilton amalizi race mara inakuwa Hivyo tutabaki Bundi hehehehe.
Haa haaa haaaa ......! na, hao waangalizi wameshaanza nongwa zao kwa Ferrari...
#TeamFerrari leo tunaweza kuibukia podium