Formula iliyotolewa na NIMR kudhibiti Covid19 ikizingatiwa tukaitumia bila dharau hatuhitaji chanjo

Formula iliyotolewa na NIMR kudhibiti Covid19 ikizingatiwa tukaitumia bila dharau hatuhitaji chanjo

wazazi wangu wanahitaji chanjo naomba tusilazimishane kila kwenye mambo ya maamuzi ya kiafya. Kwa wale wasiotaka chanjo waendelee na nyungu lakini wazazi wetu wanahitaji chanjo
Utapita wapi tukikugundua umechanjwa bila kibali wafwaa
 
Yale mapilipili?? Hacha zako
Wana jf,

Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.

Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.

Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.

Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.

Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea
 
Unataka kusema wazungu hawali mlo kamili?
Unaeeza ukakamilika ndani hamna kitu sasa kutana na anayekula nanasi mzima mayai ya kienyeji, magimbi viazi vitamu plus Maembe live yasiyovundikwa wao kila chakula chao kina modifications kuanzia papai mpaka Maembe kuna kitu hapo. Lishe kwa sura na urembo kibao
 
Back
Top Bottom