Formula uchanganyaji wa chakula kuku wa mayai miezi 2 hadi 4

baba anjela

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
431
Reaction score
310
Habari ndugu zangu,

Naomba mwenye ufahamu wa formula ya kuchanganya cha kula cha kuku wa mayai wenye miezi 2 hadi 4.

Naomba nitumieni.
 
Habari ndugu zangu ,naomba mwenye ufahamu wa formula ya kuchanganya cha kula cha kuku wa mayai wenye miezi 2 hadi 4....naomba nitumieni .
Mkuu upo mkoa gani? Maana wakiwa wadogo ni vyema wapate chakula kizuri sana. wakikua atleast mwezi mmoja uanze kuwachanganyia.
 
Ndugu karibu sana
Kwa miaka ya nyuma, kujitengenezea chakula cha mifugo ilikuwa ni taaluma ngumu na ilihitajika uwe na vitu Vingi vya kuchanganya ili upate chakula

Kwa sasa ni rahisi tu kuandaa chakula cha mifugo kwa kutumia Concentrate
Concentrate ni mchanganyiko wa virutubisho vyote muhimu vinavyohitajika kuandaa chakula cha mifugo, vyote vinakuwa ndani ya mfuko mmoja kwa uwiano sahihi, mfugaji anahitaji kuongeza wanga tu yaani mahindi labda na pumba
Kuna aina tatu kwa kuku wa mayai kutegemea na upatikanaji wa Soya au malighafi zingine kwenye eneo lako, kuna 5% , 10% na 20% Concentrate
Kwa msaada zaidi
0768864628
www.koudijs.co.tz
 
Hi guy's naomba msaada maelezo jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku wa mayai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…