Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Utumwa wa kwanza unaanzia pale akili yako inapofungwa nira. Unadharau kila kitu cha kwako. Mpk na wewe unajidharau.musa alikuwa fimbo kw ajr ya kupambana na Farao. Lkn leo ungekuwa ni uchawi na ushetani
 
Noma sana!
 
Bwana mdogo halafu ni binti wa miaka ...
 
Hiii sto
Hii story ni nzuri sana Ndugu, sasa kama unaweza ukatupia humu kwa mapana zaidi itapendeza
 
Hiyo thread iko wapi na mimi niisome
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wowowo wewe
 
Kenge
 
So the guy was oldest in group.
 
Ama hakika kama ni kweli basi zindiko hili ni zito mno kuwahi kutokea.
 
NSWECKY, p
Stori za Mwalimu kupelekwa Bagamoyo hata yeye wenyewe aliwahi kusema kuwa alichinjiwa Kondoo wakati damu inamwagika akaambiwa aruke shimo lilikuwa limecimbwa, na kunenwa maneno ya kuwa Twinning amekwisha , wakati wa kudai Uhuru.

Waliokuwa wanafanya kazi hiyo ni Mzee Tambaza aliyekuwa anaishi maeneo ya Muhmbili akiwa na wenzake. Pia walimpeleka hadi Bagamoyo kuombewa duha. Mambo haya yanafanyika hadi leo, siwezi kushangaa ila kibaya ni pale tunapotosha ukweli na kudandia stori ju kwa juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…