CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Hivi kuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania inatumia Mwenge kama sisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh! Kumbe tuendelee kuuenzi mwwnge wa uhuru umulike hadi nje ya mipaka."Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"
Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Inamaana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa? Na kwann Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge?
Hiyo Mkristo Primus naye kafuata nini hapo,duh!Aibu tupu hizi.Asante mwandishi kwenye hii Orodha ya Manabii wa wa mauza uza listi naiboresha
1. Masta Forojo Ganze
2. Primus Julius Mubanga
3. Shaibu Kalole Mtiga
4. Mfaume Goro Tumbo
5.Shekh Yahya Hussein
Kwani Nyerere hakuwa Mkristo?Hiyo Mkristo Primus naye kafuata nini hapo,duh!Aibu tupu hizi.
Sasa Nyerere kwani yupo kwenye hiyo list ya Bush Doctors,wewe vipi?Kwani Nyerere hakuwa Mkristo?
Mkuu yeye ndiye alikuwa operator wa hiyo process.Sasa Nyerere kwani yupo kwenye hiyo list ya Bush Doctors,wewe vipi?
hata yeye kaandika hivyo,,,,Mimi nimeimba UMULIKE HATA NJE YA MIPAKA YET ULETE TUMAINI .....
Ingawa sijakuelewa vizuri lakini hapo maana yake ndiyo h
umulike hata nje ya mipaka yetu,
6. Muhamedi Abubakar Musindamba.Asante mwandishi kwenye hii Orodha ya Manabii wa wa mauza uza listi naiboresha
1. Masta Forojo Ganze
2. Primus Julius Mubanga
3. Shaibu Kalole Mtiga
4. Mfaume Goro Tumbo
5.Shekh Yahya Hussein
Huyu Mpya sasa6. Muhamedi Abubakar Musindamba.
AlikuwepoHuyu Mpya sasa