Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Huyu Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.

Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
Moderator Tunakuomba ufanyie editing hii post kuiambatanisha na post namba 1
 
unavyosema ni kweli haya matukio yapo orally hayajaandikwa bado,na mtu ambaye angekua ametufanyia haki kuiandika hii historia ni mwl .Nyerere kwan alishiriki katika mambo yote na alikua pia ni mwandishi wa vitabu sasa sielewi kwa nini hakutaka kuandika historia iliyotokea na hakuwahi kuandika harakati zake hata mpaka anakufa?

na alikua mwazi kuyasema hadharani,jaribu kufuatilia hotuba zake anasimulia kuhusu mambo aliyofanya wakati wa kuusaka uhuru

kuhusu wazee wa dar kumshauri raisi ni kitu cha kawaida tu kama wazee wenye busara na wanaoijua hii nchi kwani dar ndio kitovu cha harakat zote za uhuru ulipoanzia na kusambazwa mikoani halaf ukarudi tena dar na wanachomshauri siomambo ya economics of country kwani raisi ana washauri wake kwa mambo hayo

tafsiri unavyotaka kama nchi imekabidhiwa mashetan au mungu, ila kwa wazawa wa kweli na wenye kuujua utanzania na uafrika na watanzania wakweli kutoka rohoni na wanaoheshimu mababu zetu waliotuleta hapa dunian,wakatulisha,wakatuvisha wakatulinda na hatari zote kupitia kumuomba huyo mungu ambae watu wanasema ni shetani na kufanikiwa kuhimili maisha kwa kuomba kwa mungu ambaye alikua anatuletea mvua,anatuonesha siri zilizofichika machon,anatufunulia tiba za magonjwa mbalimbali kupitia njozi au njia zingine mpaka ukawepo leo hii. tunasema nchi imekabidhiwa kwa mungu wetu na sio mungu wa kigeni ambae babu zetu hata hawakumjua na aliyekuja akatupeleka utumwani,akatugeuza makoloni yake, huyo kwetu sio mungu ni shetani

na kuna maeneo matakatifu ndani ya hii nchi ambamo tunaenda kusali na tunafanikiwa

hujawahi kujiuliza kwanini viongozi wanakimbilia mlingotin

tafakari na uikimbie mental slavery
📌📌📌📌
 
Mtu siku kumi hali hafu useme alikuwa kwa shetani? Njaa imemuua. Maana kama sio njaa shetani angemlinda aifanye kazi yake vema
Wewe umejuaje kama hakwenda na chakula of course Sina uhakika na hii simulizi but Kuna mambo yametajwa humu Yana make sense mfano Kuna member amemtaja shekhe ramia alikuwa bagamoyo huyo pia alitumika ktk hiyo michakato hata kina Mzee wa msoga walikuwa wanakwenda kwake mara nyingi tu na hili halina kificho
 
"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Inamaana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa? Na kwann Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge?
Duuuuh historia nyeti hii
 
Magufuli aliacha kukimbiza mwenge mwaka 2020 kisa COVID 19 na hakuchukua muda akafariki.

Mama Samia kaendeleza desturi ya kukimbiza mwenge.

Mwenge ni ushirikina mkubwa nchi hii kila anayejaribu kuupiga vita anakwenda anauacha. Ndiyo maana viongozi huwa wanaweweseka sana wakisikia mwenge unatembelea maeneo yao
 
Hakika, kuna mengi hatuyajui kuhusu huu moto uitwao Mwenge
ni historia ambayo watanzania walio wengi wangependa kuifahamu kiundani na uhalali wake pia kwa sababu tuliowengi hatujui ni nini hasa chanzo cha huu mwenge na ulazima wake wa kuzungushwa karibu nchi nzima kila mwaka
 
Huyu Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.

Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
Kuna jamaa flani kwenye You tube channel ya Davista Mata alisimulia hii ishu kama ilivyo. Huenda ni story ya kweli sasa
 
"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Inamaana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa? Na kwann Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge?
Umesahau shehk mnyeshan huyu ni mzaliwa WA Tanga na alikuw kjana mdogo kuliko wte
 
"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Inamaana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa? Na kwann Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge?
...Pamoja na Kuzindikwa huko, kama kweli kulikuwepo. Nyerere akafa Kifo Cha Kawaida kama Wanavyokufa Binadamu wengine...!!
 
Moja kati ya hadithi ngumu nilizo wahi kusoma!

- kuna mahali humu mtu aliongea kitu ikabidi nije nirudie kuisoma hii, mara ya kwanza niliisoma nikiwa high, kutokana na sentesi ile nikahisi kuna mahala sikuelewa, aliongea kawaida na si rahisi kumtilia maanani ila nilitoka swali ambalo nikahisi pengine sikuelewa hii story -

" Wa tz tumelogwa na mwenge na ndio maana tunaishiaga kwenye majanga ya moto " yaani mwenge unatuzuzua "

- means hua tuna kawaida likitokea janga mathala gari imeanguka au taharuki yoyote inayoweza kusababisha ajali ya moto, badala ya kukaa mbali na eneo hilo na kuchukua tahadhari, sisi hua tunaenda kujirundika ilihali tumesha ona na tunajua chochote kinaweza kujiri, japo tumekua wahanga mara nyingi kwenye matukio kama hayo "

  • kuna siku natokea mwenge kuelekea tegeta, kufika kituo kipya, (ukisha vuka mataa ya africana kuna kituo kinaitwa rafia sasa hiki kituo kipya kinafuata, kabla hujavuka mataa ya mbuyuni njia panda kunduchi ),
  • hapa tulikuta foleni, japo ukichungulia taa unaona kijani inawaka ila gari hazitembei, hua ni kawaida maana hii road ina misafara mara kwa mara,
  • kilicho nigutusha nikaona gari ya kampuni fulani ya ulinzi rangi ya orange (colour blind ) ghafla ina hangaika kupanda ukuta hatimae ikapanda na kuanza kutembea kwenye bustani, ikatua upande wa pili na kupita wrong site upande wa gari zinazotoka tegeta kwenda mwenge, ikapotea, huku tulipo mbele huoni vizuri sana maana pale ni muinuko na kuna kama kona kidogo,
-baada ya muda gari zikaanza kusogea, tukawa tunaona moshi mwingi juu unao toka sheli iliyopo kulia ukiwa unaenda tegeta pembezoni mwa barabara hapo hapo kwny njia panda kunduchi,
  • watu walikua wamerundikana kwa karrrrriiiibu kabisa na kituo hicho cha mafuta ilihali mbele yao kulikua na janga la moto lilikua linaendelea, kuna gari nyingine ya kampuni ile ya ulinzi ilikua inaungua ikiwa hapo hapo sheli huku kuna team ikiwa ina hangaika kuizima kikiwapo kijiko(greda), kilikua kinaenda kuzoa kifusi cha mchanga na kuja kuifunika ile gari.
  • Kinacho tuloga ni nini!!? ili hali unaona ni kituo cha mafuta kina mzigo wa mafuta ambayo moto ukipata upenyo kidogo tu ni bomu la kuangamiza mahali pakubwa tu nadhani kwa palivyo pale pakibutuka athari zake ni mpaka upande wa pili wa barabara, ila huwezi amini bado kuna watu walikua wanashuka kwenye magari na kwenda kurundikana pale, bado wengine walikua wanatokea upande wa pili kukimbilia pale, bodaboda kama wote wamejazana pale kwny mlango wa kuingia kwny hicho kituo cha mafuta, ambapo watu wanahangaika kuzima hilo bomu!
  • Na majanga karibu yote ya moto ndivyo ilivyo mbali na maafa yote ambayo yamekua yakitokea lakini tunakua kama mapoyoyo flani,
-binafsi wakati hayo yanaendelea mimi nilikua nashindana na jinsi ya kujinasua kwenye huu mkataba wa kiibilisi, nilikua na piga sana mihoni, wakunipisha wakanipisha, wa kwenda nae nikaenda nae nikapaacha pale palivyo, maana nilipaona kama jiko la kuchomea mishikaki pale whatsapp_kibo! Je haya mambo kiroho yana uhusiano wowote.[emoji848]
JamiiForums-284924586.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Nothing serious, mawazo yangu tu hayo, kama kuna wakuyasawazisha[emoji848]
 
Yaani Shetani awe na Roho mby kiasi cha kumnyima Chakula Mzee Ganzel! Inashangaza
Wewe umejuaje kama hakwenda na chakula of course Sina uhakika na hii simulizi but Kuna mambo yametajwa humu Yana make sense mfano Kuna member amemtaja shekhe ramia alikuwa bagamoyo huyo pia alitumika ktk hiyo michakato hata kina Mzee wa msoga walikuwa wanakwenda kwake mara nyingi tu na hili halina kificho
 
Magufuli aliacha kukimbiza mwenge mwaka 2020 kisa COVID 19 na hakuchukua muda akafariki.

Mama Samia kaendeleza desturi ya kukimbiza mwenge.

Mwenge ni ushirikina mkubwa nchi hii kila anayejaribu kuupiga vita anakwenda anauacha. Ndiyo maana viongozi huwa wanaweweseka sana wakisikia mwenge unatembelea maeneo yao
Duh!!..
 
Ndivyo ilivyo,jiulize juu ya Kenya waliokabidhi nchi kwa mungu wa wahindi ambaye ni amber,Kenya haitaendelea kuipita India sababu wanatumia mungu wao,hayo aliyafanya jomo kenyata,na akaweka kauli mbiu ya HARAMBEE,( neno HAR ni neno la Kihindi maana yake Tukuza,na AMBEE ni mungu wa wahindi,kwahiyo HAR+AMBEE=HARAMBEE yaani Tukuza Ambee),kenya imewekwa rehani india na ikiangalia nyaraka zote za serikali ya kenya zina neno HARAMBEE hadi nembo ya taifa Lao,sasa hivi HARAMBEE imeingia Tanzania kila Changizo la kuchangia chochote liwe au kidini au kiserikali wanasema tunafanya HARAMBEE ya kuchangia kitu fulani,kwahilo hatuwezi kuendelea na kuwapita kenya maana tunatukuza mungu wao waliyemtoa india hivyo hawezi kutupa zaidi tukawapita wakenya kimaendeleo,chunguza hilo
Kwa mantiki hiyo sisi tuna kazi maana hata tukisema tukabidhi kwa Mungu Yehova Ni was Israel,mungu Allah Ni wa Arab,mungu Mbee Ni wa India,Sasa hapo tubaki tu na Mwenge uliotoka mapango ya mizimu
 
Huyu Forojo Ganze, alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.

Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
Hawa washirikina wote walikuwa ni dini ya wavaa kobaaz. Ivi kuna uhusiano gani kati ya dini hii ya Mwinyaaz na mambo ya kishirikina? Hawa mambanga walizindika nchi badala ya kwenda kuwauliza watumishi wa Mungu wao wanaenda kuongea na mizimu. Huyu Nyerere alikuwa mpumbavu sana kuweza kukubali uo ujinga.
 
Back
Top Bottom