Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Kwa hapa Nakubali kwa shingo upande.
Hao wazee wenyewe wa Dar ni wakina IDD SIMBA?
 
Hivi una imani gani mzee? Mbona unaonekana kupenda mambo ya kichawi?
 
Wacha uongo wewe. Story za utotoni we ndo unaona za kweli? Haya tusaidie majibu ya haya maswali:-

1. Huyo muha alikuwa anaitwa nani?
2. Alikuwa anaishi wapi?
3. Aliuwawa mwaka gani?
4. Mauaji ni jinai, huyo mzungu alifanyweje?

Nasubir majibu
 
Kuna uzi upo jukwaa.la biashara unafafanua sana kuhusu mwenge unavyorelate na ushirikina. kwa bahati mbaya natumia.mchina.ningeweza kusearch na kuwaletea hapa.
Miaka mitatu baadae bado unatumia mchina isiyoboreshwa? Tupe link hiyo
 
Mtu siku kumi hali hafu useme alikuwa kwa shetani? Njaa imemuua. Maana kama sio njaa shetani angemlinda aifanye kazi yake vema
 
Mkuu nashukuru kwani umeandika vitu ambavyo ni nadra kuvisikia. Zaidi ya yote umeandika in such a way kuwa unaleta habari kwa anayetaka kuelewa jambo. Hukuja na lawama na maneno mabaya bali umeelewesha jambo. Aksante nimekuelewa
 
Huyo binti yuko wapi kwa sasa? Umemuuliza kwa nini Magufuri haufuti mwenge?
 
Ha ha ha ngoja nione nini walikujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…