Fotmob haitambui kitu kinaitwa Yanga SC

Smart AJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
5,564
Reaction score
5,884
Nimeshangaa sana, kwani nimejaribu kusearch timu kibao za ndani na nje, ila kila nikisearch Yanga ili nitazame rates wanazompa King Mayele naona wanasema no suggestions.

Hii ina maana gani wakuu wangu? Sasa ntapata wapi rates za king mayele jamani?[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25].

Ina maana hata Mtibwa wanajulikana na Fotmob, ila timu ya sisi Wananchi haipo? Hawa Fotmob ni Simba tu hawa kama CAF tu. Ni hujumaaaaa!

 
Wewe utakuwa chiz.i umetoroka Milembe
 
Jaribu young Sc japo Mimi sio utopo ila nimeona kwa jinsi gani ulivyokilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…