Found a real love when its too late.


Kawaida ya mwanaume yoyote,anaweza sema yuko tayari,but i think nahitaji kutulia na kufikiria mawazo yenu,thanx
 
Pia kwa kukusaidia soma na hii pia!

THE POWER OF MAN

.A man has the power to love a woman in a way she never been loved,and yet hurt her with the same intensity.

2.A man has the power to treat a woman like a queen
then turn around and make her wish she was never born.

3.A man has a power to make a woman cry with happness and joy
then turn around make her cry with hurt and anger.

4.Aman has the power to let a woman feel free and wanted
but also feel disgusting and unworthy

5.A man has the power to look at woman in her face and tell her he loves her,but turn around and sleep with her best friend.

6.A man has a power to make you fall in love with him within days,
and hate him within minutes.

7.During sex a man has the power to make a woman feel like she is in heaven
and afterwards makes her feel like a *****.

8.A man has the power to change a woman from having goals,to living his goals instead of her own.


BUT
the power of a man wouldn’t mean anything without a woman.
 

Taratibu tete,nakupata afu maneno yako mbona makali sn,nlikuwa nahitaji ushauri wako sasa mambo ya shauri yangu tena mbona bado mapema.
 
 
Na ninaomba nieleweke niko na mchumba wangu kwa miaka miwili na nusu sasa na sijawahi kumsaliti kwa mwanaume yoyote zaidi ya huyu.

Mi naona kama umeshamsaliti mchumba wako tayari!! Sijui kwako wewe kusaliti manaake nini? Lakini kwa hapo ulipofikia tayari umemsaliti kwa sababu mumeingia kwenye uhusiano wa kimapenzi.

Mwenyewe unakiri kuwa mko in love.........!!
 
jiangalie sana BINAMU!SHAURILO....!
kuna mwenzio mmoja alishtuka wakati ''ANA MIMBA''!na jamaa ake yupo YUROPU anazitafuta!.......!

haya mambo pale yudisimu ni ''kawaida sana'' lakini

NDO WANAWAKE WA KI-BONGO MLIVYO!
 
hakuna mapenzi ya simu wala ya mbali hata siku moja....kama mnapenda lazima mfanye jitihada mkae pamoja. Vinginevyo asiyekuwepo na lake halipo. Ndio maana umepata na chance ya kumuona mtu mwingine mpaka ukatest hata mapenzi yake yakoje..atleast
 
Mi nakushauri jibakie single tu maana ukiolewa unaweza jikuta unamdondokea mwingine na ukampenda zaidi ya huyo uliye nae na ikawa balaa kwenye ndoa yako kwa jinsi ulivyo naona kama huridhiki na mmoja ni bora ujiishie hivyo hivyo utaenjoy utakuwa unawabadilisha kutokana na muda.
 
Tulia na mchumba wako binamu, huyo jamaa anataka kukumega tu kisha atakuacha, na usipokuwa na moyo mgumu ndio mwanzo wa kunywa sumu au kujitia kitanzi.
 
hapo dada kashaingia mkenge. Ni ushindi mkubwa kwa mwanaume kumchanganya mdada kiasi hicho ila mimi naongea kwa uzoefu wangu kuhusu kula mizigo, ni kwamba kama mtu una mtu wako mbali utakuta unatafuta mzigo mwingine ili usogeze siku sasa unakuta demu anakolea kabisa kumbe umemweka kama poozeo tu kojoleo likipata hamu

Angalizo hapa kwa dada yangu ni kwamba endelea kula tunda ila jua wazi huyo jamaa anakutumia tu hana future na ww utakuja kugundua baadae
 
u might be consumed by romantic obsession right now; thats why I am not surprised why u lose sanity..First I want to make it clear that I am not intrinsically against passion,,Mercy No... but before u make any decision u need to ask ur self... "will this choice be beneficial toanybody in the long term?
 
Na wanaume wa kibongo wakoje? na huyo wa kwako ni wa kichina au?

Huna commitment, huo ndio ukweli. Ktk umri ulionao unashindwa kutofautisha baina ya mahaba na mapenzi.
 
jiangalie sana BINAMU!SHAURILO....!
kuna mwenzio mmoja alishtuka wakati ''ANA MIMBA''!na jamaa ake yupo YUROPU anazitafuta!.......!

haya mambo pale yudisimu ni ''kawaida sana'' lakini

NDO WANAWAKE WA KI-BONGO MLIVYO!

Aaha hapo sidhani kama pana ukweli sio wanawake woote wa Bongo wako hvo me mbona wangu yuko Zurich na nina msubiri nacja msaliti? na yeye anajua hilo?
 

Hizi zama za 'ujasiriamali' kila kona kila mtu ni mwizi tu..huyu mdada anaeza akadhani ni mjanja kwamba 'anaiba' kumbe yeye ndio 'muibiwa' mwenyewe..lol
 
duh ..............nna wasi wasi na mapenzi yako kwa mchumba wako. ungekuwa unampenda kweli kweli kwanza ungelijaribu tokea awali kutokuwa karibu na mwanamme mwengine.

Sidhani kama mapenzi na mwanamme mwengine yalianza tu kama jipu! uliyaacha yakakuwa, na pengine hata uliyapalilia, kuyatolea magugu na kuyatilia maji.

nadhani ungekuwa umejifunga na mchumba moja kwa moja ...............usingefika kuwa inlove na mwengine na kufika kumsaliti. angalau japo ungempa heshima ya kuvunja uhusiano nae kwanza.
 

Nimekupata tete na ndo maana nliomba ushauri wenu,ila sasa mambo ya shauri yangu yanatoka wapi?
 
I wish i could knew him before,cause its like i found a real love when its too late,hata yeye pia ana apprecite sana for this love.

Why am not surprised that you have concluded like this!
My advice is you are in for jolly good ride!.........yes enjoy the ride while still can but take note..........there is sharp corner along the way!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…