Foundation Chini ya Kampuni

Mtangoo

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
6,167
Reaction score
5,613
Wapendwa Wataalam,
Saalam!

Napenda kujuzwa namna gani naweza tengeneza Foundation Ikawa chini ya Usimamizi wa Kampuni Binafsi.
Mapato na matumiz na hata kama faida hayataingiliana na Foundation. Nataka kampuni isimamie tu malengo ya hiyo foundation na funds zake.

Je inahitaji iwe registered kama NGO? Au inakuwaje kisheria?

Shukrani!
BH
 
kaka samahani OBJECTVICES za hiyo foundation ni nini?plz ziweke hapo ili tuweze kujua na hiyo foundation profitable au nonprofitable. then tutakupa taratibu
 
kaka samahani OBJECTVICES za hiyo foundation ni nini?plz ziweke hapo ili tuweze kujua na hiyo foundation profitable au nonprofitable. then tutakupa taratibu
Objectives: Kuinua Teknolojia Tanzania kwa kuwasaidia Wana Teknohama wa hapa kwetu kwa namna mbalimbali
Its a non profitable thing!
 
Mnaweza sajili Non Profit Company, hii huwa ni Kampuni kamali lakini haina Share, na mara nyingi iko kwenye kundi la NGOs na baadhi ya NGOs ambazo zina operate kama hivyo ni RLDC Ltd, PSAA Ltd, FAIDAMALI co Ltd hizi zote ni NGOs ila zimesajili kama kampuni
 

Na process zake zinakuwaje? Hizi hizi za Brela? Unaweza fafanua stages za kusajili?

Asante kwa majibu mazuri!
 
Process ni zile zile, ila kwenye idadi ya members kidogo limi myake ni tofauti, wewe google Breala kuna kila kitu huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…