Mkuu comment yako, na profile picture vinaendana.
Huyo kuzungumzia gari wewe umeruka kwenye ndege, wakati wowote utarukia kwenye meli.
Jaribu kuangalia kwa kina hiki kitu. Resonance in relation to number of piston with a consideration of fuel consumption .
Kabla ya kukua kwa technology tulikuwa na kitu kinaitwa governor ambayo ilikuwa mechanical. Ilikuwa inatumia proposional principal, ie unapofungua mafuta na ndivyo yatakavyolika.
Baada ya kukua kwa technology tukapata, proposional +derivatives governor, ie hata ufungulie mafuta hadi mwisho, mafuta yatatumika kulingana na mzigo, na hata ukibania mafuta unajisubmbua kwani engine itakosa nguvu
Baadae technology ikazidi kupanuka, tukapata proposional +derivatives +intergral governor. Hii imefuata kanuni ifuatayo, ukubwa wa pua si wingi wa makamasi. Ie unaweza kuta engine ina v12, lkn ulaji wake ukawa sawa na 6cylinder. How? Ni rahisi.
Sio kwa kuwa umetengeneza choo basi kila wakati ukajisaidie, no. Utaenda chooni pale utakapobanwa.
V12 on normal loads sio piston zote 12 will be supplied with fuel, may be 6 of them.
How do they achieve comfotability? Minimization of resonance, na ndio maana zipo kimya.
Kanuni ya hapo juu in applying only ktk magari.
Mkumbuke consumption inavyo hesabiwa.
Consumption kwenye barabara = power of engine xload x conditions of load x time ÷ distance covered.
Ile consumption ilioandikwa kwenye gari ni bench tested results. Ni engine imewekwa juu ya bench ikawashwa.
Wakora