Four Years Later: My Reflection on President Magufuli: A Double Measure of Boldness and Dare

Four Years Later: My Reflection on President Magufuli: A Double Measure of Boldness and Dare

Hasty generalizations and Unwarranted assumptions.
Swala la serikali kuwa na ndege ni vipaumbele vya mtu tu,ndio maana taifa kama US na mengine mengi hakuna national airlines bali yameachia sekta binafsi hiyo biashara.
Swala la mgao wa umeme unafahamu chanzo chake ilikuwa ni nini wakati huo,Ukame.
Mapato ya serikali yamekuwa yakipanda tangu nchi hii inapata uhuru na kila awamu yamepanda.
Mengine yote yaliyobaki ungetoa takwimu angalau kidogo ungeeleweka na ungewezwa kujibiwa hoja zako.
Mkubwa swale zuri sana. Chama chake ... ni point nzuri. Alikuwa waziri ndani ya serikali ya chama chale....pia swali zuri. Ila ukiangalia Tanzania ya kabla yake na ya sasa kuna mengi sana yamebadilika. Tukikuwa na ndege ngapi 2015? Tulikuwa na dawa za kulevya kiasi gani mwaka 2015? Tulikuwa na zahanati na vitro via afya vingapi 2015? Tulikuwa na ubabaishaji kiasi gani maofisini 2015? Sisi tunaoishi uswahilini hata maji ilikuwa mgogoro wa mwezi mzima, lakini siku hizi walau tunapata mara tatu kwa wiki. Umeme wa mgao bado mkali kama zamani? .... makusanyo na mapato ya serikali yalikuwaje na yakoje. Ukiangalia ni chama kilekile, ni serikali ile ile, lakini tunaona mwelekeo tofauti kabisa wa utendaji....haya mengi yanajieleza.
 
Absolutely, I do. Wakati wa JK tulikuwa tunawang'ang'ania hawa watu na tukawawajibisha hata kama JK hakupenda. Au mmesahau kabisa ile "ajali ya kisiasa"? Tukimnyoshea kidole Rais basi iwe jambo ambalo ni airtight.
Hapana. Mfano wako haustahili kabisa.
Sijaona alichofanya Majaliwa kama waziri Mkuu unachoweza kukifananisha na yaliyokuwa yakifanywa na mawaziri wa Kikwete. In fact, kama hali ingekuwa inaruhusu, Kassim ndiye aliyestahili kukaa pale juu,kwa sababu mbalimbali ambazo sitaki kuziandika hapa.
Kwa hiyo, hiyo 'justification' yako naikataa katakata.
 
being aggressive means selfishly pushing for what you want at the expense of other people. in doing so, you generate a host of negative behaviours that make people become angry and vengeful towards you. it may involve hostility, blaming, threats, gossip, and unreasonable demands. aggressiveness may allow you to achieve your immediate objective, but it also guarantees that you will not have what you want the next time.
Thanks, mkuu Bungua..., for this comprehensive quote.
To me, this encapsulates everything we are witnesses of in our contemporary Tanzania.
 
Mtu anatwaa pesa Hazina kwenda kulipa wakulima wa korosho bila uwepo wa bajeti ya bunge iliyoidhinisha pesa hiyo shilingi Bilion 40, Halafu mtu anakuja anasema mtu huyo is doing a fantastic job! .

Mkuu are you pro rule of law au uko for the banana republic?

Kwani Wakulima waliiuzia serikali korosho?

Yaani mtu anafidia makosa ya maamuzi yake tenge kupitia kodi za wananchi na tena bila bajeti iliyopitishwa na bunge halafu unasifu namna nchi inavyoendeshwa?

Hizo pesa ilibidi zikaombwe bungeni lakini pia ikiambatana na yeye aliyesababisha hili tatizo akiwajibika.
Now anaweza asiwajibike but oneday atawajibika kwa maamuzi yale ya kuumoza wakulima na mengineyo mengi!
 
Mtu anatwaa pesa Hazina kwenda kulipa wakulima wa korosho bila uwepo wa bajeti ya bunge iliyoidhinisha pesa hiyo shilingi Bilion 40, Halafu mtu anakuja anasema mtu huyo is doing a fantastic job! .

Mkuu are you pro rule of law au uko for the banana republic?

Kwani Wakulima waliiuzia serikali korosho?

Yaani mtu anafidia makosa ya maamuzi yake tenge kupitia kodi za wananchi na tena bila bajeti iliyopitishwa na bunge halafu unasifu namna nchi inavyoendeshwa?

Hizo pesa ilibidi zikaombwe bungeni lakini pia ikiambatana na yeye aliyesababisha hili tatizo akiwajibika.
Now anaweza asiwajibike but oneday atawajibika kwa maamuzi yale ya kuumoza wakulima na mengineyo mengi!
you're really a missile of the nation! watanzania wamelogwa na kulogeka. mtu akikutumia leo kwa faida yako kuna siku mtu huyohuyo atakutumia wewe huyohuyo kwa faida yake! leo amechota akanunua ndege bila kasima iliyopitishwa na bunge, tukachekelea. akazama tena kwemye
 
Mtu anatwaa pesa Hazina kwenda kulipa wakulima wa korosho bila uwepo wa bajeti ya bunge iliyoidhinisha pesa hiyo shilingi Bilion 40, Halafu mtu anakuja anasema mtu huyo is doing a fantastic job! .

Mkuu are you pro rule of law au uko for the banana republic?

Kwani Wakulima waliiuzia serikali korosho?

Yaani mtu anafidia makosa ya maamuzi yake tenge kupitia kodi za wananchi na tena bila bajeti iliyopitishwa na bunge halafu unasifu namna nchi inavyoendeshwa?

Hizo pesa ilibidi zikaombwe bungeni lakini pia ikiambatana na yeye aliyesababisha hili tatizo akiwajibika.
Now anaweza asiwajibike but oneday atawajibika kwa maamuzi yale ya kuumoza wakulima na mengineyo mengi!
Anapenda sana kuhusisha Jeshi kwenye madudu yake ili kujiweka salama.

Yaani sijui ni nani alimwambia hasa anaweza kuwa rais.
 
Thanks, mkuu Bungua..., for this comprehensive quote.
To me, this encapsulates everything we are witnesses of in our contemporary Tanzania.
of course, yes, we are witnesses. and ironically as mere spectators.
 
This thread was so serious until you made me laugh.
Are you dreaming?
These are very good questions; but unfortunately they are directed to a wrong person. These are questions that should have been directed to IGP, DCI, DPP and even TISS. These are questions of law and order; If I were an opposition leader I would have put pressure on these organs and if necessary put pressure on the Prime Minister... even force his government to resign.
 
Na hili ndilo kosa kubwa sana linaloendelea nchini sasa hivi. Kuna watu ambao tunawaita "elite" ambao kwa kweli wanakesha kujionesha kuwa ni bora zaidi. Nina uhakika huku chini kuna watu leo wanashukuru kuwa Magu ni Rais. Nimesikia kwa watu wengi sana kwa upande wangu. Na nimesikia wengi ambao wanakosoa na unaweza kuona ile sense ya "elitism". Magu kwao ni mshamba, hajui kitu, na kila anachokifanya hakifai kwa sababu hazungumzi kama wao, hayuo complicated or even polished.

But who cares, hao wanaojiita wa mjini look at what they have done, hata walio-complicated look at what they have done. Ni wa mjini kuvaa suti tu, they have not accomplished anything tangible. Nchi yetu imeporomoka sana kwenye mikono yao and we turned to a laughing stock. Miaka hii minne ya magufuli tunaona mabadiliko na mwelekeo wa maana. So the question is, what does being elite mean if you can not deliver or accomplish a thing? And what does mshamba mean if you can accomplish things?

Kwa sisi walala hoi, mshamba au wa mjini sio issue, kudeliver ndio issue.
 
But who cares, hao wanaojiita wa mjini look at what they have done, hata walio-complicated look at what they have done. Ni wa mjini kuvaa suti tu, they have not accomplished anything tangible. Nchi yetu imeporomoka sana kwenye mikono yao and we turned to a laughing stock. Miaka hii minne ya magufuli tunaona mabadiliko na mwelekeo wa maana. So the question is, what does being elite mean if you can not deliver or accomplish a thing? And what does mshamba mean if you can accomplish things?

Kwa sisi walala hoi, mshamba au wa mjini sio issue, kudeliver ndio issue.
laughing stock? locally or internationally? tunanunua ndege by cash, kufungua nyerere house addis ababa kuongea bila mkalimani akiwepo mkalimani, kampala kujibu swali out of context, kuongea kiswahili harare, kuwa na watu wasiojulikana miaka minne, kujenga ukuta mirerani bila detector mlangoni, kushinda uwanja wa ndege kusubiri ndege zisizokuwa mpya, kutoa tausi, kununua vichwa vya treni visivyo na mwenyewe, kununua korosho za msimu kwa mwaka mzima kijeshi!
laughing stoçk kwa kutonunua ndege, kutojenga sgr au stigler's gorge? you must be kidding!
 
Back
Top Bottom