Fozhou China, Mkutano mkuu wa 44 wa UNESCO July 16-31: Utetetezi wetu Watanzania juu ya ujenzi wa bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere

Utapata lila kitu lakini megawatt 2150 haziwezi kutimia. Inakadiriwa 36% ya maji yaliyokuwapo wakati wa upembuzi yakinifu wa awali yanni mwaka 1978 hayapo kutokana na sababu mbali mbali zikiwapo; miradi mbadala ya Mtera na Kihansi, shughuli za bonde la Ihefu, ongezeko la idadi na shughuli za binadamu na mabadiliko ya tabia nchi.

Hapo ni upotevu wa raslimali tu ulifanywa na Dikteta asiyeshaurika
 
Mkuu pamoja na kuwaheshimu mno....mno wataalamu,madaktari na maprofesa wetu.....

ILA......

Unalikumbuka sakata la GMO's?!!

GENETICALLY MODIFIED SPECIES(GMO's)ilizua majambo hapa nchini.....

Wako waliosema kuwa ,baadhi ya WAPIGA UPATU NA NZUMARI ya kutumia utaalamu/mbegu hizo za maabara "waliwezeshwa"....waliwezeshwa kutoka nje(hayo makampuni) "fluus,mikabala,faranga,dinari" 🀣🀣

Sisemi WATAALAM wetu wanaweza kupotosha ukweli kutokana na msukumo wa "umatemate",ila kule MAREKANI imeshawahi kutokea PROFESA NGULI WA UCHUMI aliyeaminiwa na nchi KUTOA MAPENDEKEZO/NJIA za kufuata baada ya ule mdororo wa uchumi(economic recession) wa 2008....ikaja kubainika kuwa MAKAMPUNI makubwa "yalimkamata kimshiko" AKASALITI KAMBI" na kutoa MWELEKEO aliyekuwa "ANAJUA VYEMA" kuwa UNAWANUFAISHA makampuni makubwa YALIYOCHANGIA yale matatizo....kwa hiyo AKALIINGIZA taifa lake "CHAKA" ......

#KaziIendelee
#JMTKwanza
 


64% ya 2150MW ni MW ngapi??

Better have something than nothing balonga bazungu.

Kumbuka wale wanasiasa wote waliosimama kidete kupinga huu mradi wanayo maslahi ya moja kwa moja auvya mbali kwenye visima vya gesi.--- walipinga kwa ajili ya matumbo yao.
 
kama uzalendo ni kukatwa tozo za simu hakuna uzalendo
 
Sahihi kabisa.....

Maslahi maslahi maslahi ya baadhi ya wanasiasa Kaka ha ha ha 🀣
 
Huu ujinga ndio watanzania wenye akili fupi mnapenda kulishwa.
Nani alikwambia mzungu anaumia sisi kuwa na bwawa kubwa la umeme?

Hadithi kama hizo tulizisikia pia wakati ule tunajenga bomba la gesi la Mtwara. Watawala hawa hawa wanaojenga sasa bwawa la umeme huko selous walituambia kupitia gesi ya Mtwara kuwa tungekuwa na utoshelevu wa umeme, tutanunua kwa bei nafuu (sawa na bure), tutauza umeme nje ya nchi, tutauziwa gesi ya majimbani kwa bei sawa na bure nk. Bomba la gesi kwa nguvu zote likajengwa, kiko wapi mpaka leo hii?
 


Ujinga wa muafrika ndio huo, akili yako inafikiri mambo ya siku moja ijayo wakati wenzako wanafikiri yajayo miaka 10--20!!.

Ulipoambiwa umeme ungekuwa sawa na bure ukadhani ni jambo la kufumba na kufumbua macho??--- maendeleo ni process na ukidanganywa leo usifikiri kesho utadanganywa, ya leo ni leo ya kesho ni kesho.
 
Nchi kwanza....

Akina Mbowe hawaliongelei hili....

Wao Katiba mpya tu ,🀣🀣
 
Daaah....

".....siku zote tuendelee kukodi mitambo yao ya gesi...."!!

#KaziIendelee
 
Umeandika vizuri ila umekosea huo mstari ulioandika "kipenzi chetu hayati Magufuli"

Naomba mtoa mada usituhusishe sote, aweza kuwa kipenzi chako lakini siyo kipenzi changu.

🀣🀣Ok mkuu wangu ha ha ha ila "CHETU" huanzia na "mbili"....katika hilo tuko:

1)Jumbe Brown
2)JohntheBaptist
3)Idugunde
4)Mkaruka et al🀣

Niongeze na mimi pamoja na mama D

Mmeamkaje watoto wa kipenzi cha Watanzania shujaa mbeba maono John Pombe Magufuli
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Mmeamkaje watoto wa kipenzi cha Watanzania shujaa mbeba maono John Pombe Magufuli
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Kumekucha komrediπŸ’ͺ

Mbeba maono ametuachia mradi ADHIMU wa BWAWA LA MWALIMU NYERERE,cha ajabu UNESCO "wametubadilikia" 🀣🀣
 
Mmeamkaje watoto wa kipenzi cha Watanzania shujaa mbeba maono John Pombe Magufuli
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Wakati mwingine sisi Watanzania ni wapuuzi. JPM aliamua kuhakikisha anarudisha hela zilizokuwa zimechukuliwa na mafisadi na kuacha wanyonge wabaki na kidogo walichonacho. Miradi ikaenda kwa spidi ila Watu wakamlalamikia na kumuita majina ya ajabu. Sasa Samia kaingia na gia ya kutowabughudhi mafisadi, watu wakamshangilia, imagine!!!! Leo hii hakuna hela ya kuendesha serikali, akaona wanyonge wajipapase; kilio kama chote. JPM bwana, Mwenyezi Mungu amrehemu huko alipo. Inauma
 
Kumekucha komrediπŸ’ͺ

Mbeba maono ametuachia mradi ADHIMU wa BWAWA LA MWALIMU NYERERE,cha ajabu UNESCO "wametubadilikia" 🀣🀣
Kwa siasa za sasa ambazo JK ndiye dereva, inawezekana wakausimamisha ili kutafuta sifa! Lakini 2025 sijui
 
Kwa siasa za sasa ambazo JK ndiye dereva, inawezekana wakausimamisha ili kutafuta sifa! Lakini 2025 sijui
Mkuu wangu ,Mradi huo UTAENDELEA.....

Miradi yote aliyoanzisha El comandante hayati kipenzi JPM itamalizika.....

Komredi tumpe nguvu mh.Rais wetu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…