Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
sidhani kama atakuelewa sasa 🐒Kwanza nikiri simfaham mwanafunzi huyu wala wazazi wake na hata hiyo shule siifahamu. Lakini pia nikiri kuwa habari yako haina ukweli kwa 💯,kwa sababu zifuatazo
1) haiwezekani km kweli alikuwa na akili unazosema akae mtaani, maan yake ni kuwa alishindwa mtihani. Km angekuwa amefaulu angechaguliwa na SERIKALI kujiunga kidato Cha TANO, na hapo ndo ukweli ungedhihiri maana hata mtendaji tu wa kijiji km angeambiwa juu ya kushikilwa cheti chake angefuatilia na suluhu ingepatikana maana huyu bado ni mali ya SERIKALI na lazima aendelee na shule.
2) km angekuwa amefaulu angetakiwa kupeleka result slip, kitu ambacho ingekuwa rahisi kupewa kuliko cheti halisi.
3) unasema hao ma Father walimuomba wamfadhili. Elewa ufadhili na msaada ni vitu 2 tofauti. Hapo lazima kuna makubaliano (mashariti) waliingia ndo maana wakaita ufadhili. Mfano, wanafunzi wa Tz wa vyuo vikuu wanafadhiliwa na SERIKALI kupitia HESELB. Manake ni kuwa kuna conditions and terms kati ya SERIKALI na mnufaika.
4) hao ma Father siyo vichaa kushikilia cheti Cha mwanafunzi waliemchukuwa kutoka mazingira ya kimaskini halafu waje wadai mamilioni ya fedha. Sidhani km ni wanyama kiasi hicho. Huu Ni uongo.
5) Unasema hao ma Father walimuomba na kumhamisha shule, walimjuaje maana familia masikini ni nyingi. Huu nao Ni uongo, hapa ukweli ni kuwa wazaz ndiyo waliwafuata ma Father shuleni kwao, na hapo ndo conditions and terms zilipoafikiwa baina yao.
6) tangu amalize, huyo mwanafunzi alichukuwa hatua gani ili kupata msaada wa kupata cheti chake maana kuna uongozi wa SERIKALI kuanzia kwenye shina hadi taifa, eti hadi wewe leo ndio unakuja kutoa habari yake. Hii inatia shaka.
NB:
wewe nenda shuleni hapo ulete taarifa sahihi. Usipende ya kuambiwa, vinginevyo za kuambiwa changanya na za kwako
ukisoma tone ya bandiko lake ni kama vile anahitaji kuhurumiwa na jamii licha ya madhaifu na kasoro anayojitahid kuyaficha 🐒