Fr. Titus Amigu: Vifo wakikanyaga mafuta ya upako, ya Musa bado ya Firauni

Fr. Titus Amigu: Vifo wakikanyaga mafuta ya upako, ya Musa bado ya Firauni

Miaka michache kidogo iliyopita Wakatoliki tungeliweza kusimama pembeni na kusema matukio ya aibu namna hiyo si yetu. Lakini sasa hivi na sisi tupo katika foleni ile ile na tunaelekea kule kule kwa sababu tumetumbukizwa katika UIGAJI WA KIUPOFU.

Lakini yatakapotokea hayo kanisani mwetu, mimi sijui tutaficha wapi sura zetu! Lakini nadhani ingekuwa afadhali yakitokea baada ya mimi kuitaliki dunia hii.

Mzee wenu Padre Titus Amigu.

Wachache watamuelewa hapa father anamaanisha nini lakini nimetumia Purposive rule ya interpretation na kugundua kuwa father ni concervarive na anayapinga mabadiliko mbalimbali yanayoendelea ndani ya kanisa katoliki hasa hasa hili la KARESMATIC ambao nao wameanza kufanya viroja na maigizo kama wafanyavyo walokole na anaonya kuwa kuna siku aibu kama hii yaweza kulikumba kanisa katoliki kwenye madhabahu yake kama halitaonywa na anamuomba Mungu amchukue mapema kabla hajaishuhudia aibu hii
 
Shida ya mambo ya imani kwa asili hayahusishi matumizi ya akili.
Mambo ya imani yanatawaliwa na hisia (niite emotions) kuliko kufanya tafakuri za kina bila kuathiriwa na hizo hisia.

Linapofika suala la emotion hapo umri na elimu havisaidii sana, wote wanakuwa ktk ujinga ulio ktk kiwango sawa.
 
Wachache watamuelewa hapa father anamaanisha nini lakini nimetumia Purposive rule ya interpretation na kugundua kuwa father ni concervarive na anayapinga mabadiliko mbalimbali yanayoendelea ndani ya kanisa katoliki hasa hasa hili la KARESMATIC ambao nao wameanza kufanya viroja na maigizo kama wafanyavyo walokole na anaonya kuwa kuna siku aibu kama hii yaweza kulikumba kanisa katoliki kwenye madhabahu yake kama halitaonywa na anamuomba Mungu amchukue mapema kabla hajaishuhudia aibu hii
Kweli
 
Back
Top Bottom