Fraga Veira

Fraga Veira

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Huyu ni kiungo mkabaji wa klabu cha kandanda cha simba .Alivyokuja kwenye ardhi ya tanzania alionekana sio chochote lakini kwa miezi 5 aliecheza baadhi ya wanamsimbazi wamemsahau kiungo wao mpendwa na captain wazamani/mkude .Swali ni je huyu jamaa ana historia ya kusisimua kwanini hakuenda ulaya? Su kuna uwezekano akawa aliachwa na mawakala wa ulaya kutokana na imani yake? Na je imani yake ya dini inaendana na ushangiliaji wake wa mabao? Nafikiria tuuHappy new year wanasimba na samba soccer styles
 
Huyu ni kiungo mkabaji wa klabu cha kandanda cha simba .Alivyokuja kwenye ardhi ya tanzania alionekana sio chochote lakini kwa miezi 5 aliecheza baadhi ya wanamsimbazi wamemsahau kiungo wao mpendwa na captain wazamani/mkude .Swali ni je huyu jamaa ana historia ya kusisimua kwanini hakuenda ulaya? Su kuna uwezekano akawa aliachwa na mawakala wa ulaya kutokana na imani yake? Na je imani yake ya dini inaendana na ushangiliaji wake wa mabao? Nafikiria tuuHappy new year wanasimba na samba soccer styles
Kwani ana imani gani ya dini mpaka uihusishe hapa??
 
Back
Top Bottom