Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 364
- 182
Wakuu,
Natafuta Frame ya duka maeneo ambayo yanafikika kiurahisi. Isiwe kubwa sana na wala ndogo sana.
Ningelipendelea maeneo kama Kinondoni, Mwenye, Sinza, Ilala na Ubungo.
Lengo hasa ni kuuza vipodozi (Perfumes) kwa bei ya rejareja na jumla.
Naomba tuwasiliane kwa email SSAMBALI@hotmail.com au nipe PM.
Natafuta Frame ya duka maeneo ambayo yanafikika kiurahisi. Isiwe kubwa sana na wala ndogo sana.
Ningelipendelea maeneo kama Kinondoni, Mwenye, Sinza, Ilala na Ubungo.
Lengo hasa ni kuuza vipodozi (Perfumes) kwa bei ya rejareja na jumla.
Naomba tuwasiliane kwa email SSAMBALI@hotmail.com au nipe PM.