France vs Northern Ireland

France vs Northern Ireland

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
France wamekoswa koswa mara mbili...... vipi wewe Robbie Keane huoni goli?
 
Half time Repulic of Ireland 0 France O
 
Lakuvunda halina ubani....NI wamepiga soka ile mbaya, Anelka akawaotea! Safari hiyo imewadia

Yaani huwezi amini, leo nilikuwa upande wa NI mazee... Kaazi kwelikweli
 
Yaani huwezi amini, leo nilikuwa upande wa NI mazee... Kaazi kwelikweli

Hata na mimi skupenda France apete ila Trapatoni ni kocha mzuri ame transform sana kiwango cha Republic of Ireland
 
Hata na mimi skupenda France apete ila Trapatoni ni kocha mzuri ame transform sana kiwango cha NI

we acha tu aisee... anyway we have witnessed funny stuff today with Nigeria edging past Tunisia, Egypt escaping miraculously ,

Wareno vipi?
 
Wareno vipi?

Sorry nilikuwa sijaiona hii, Bruno Alves aliwafungia wareno goli moja zidi ya Bosnia-Herzegovina. Naona wako vizuri kwenye hizi play off! Portugal 1 Bosinia-Herzegovina 0 hadi mwisho
 
MOD naona mumeamka sasa! Jamaa walikuwa wanavaa gloves kuanza kuzipiga.....mkakaa kimya mkiogopa punches za usoni, leo mnahamisha post zangu kule kwenye mapigano. Haya bwana nyie watemi
 
Sahihisho: Ni Republic of Ireland (Southern).
Badilisha title pia mkuu maana kuna ungwe ya pili jumatano
 
Tofautisheni Northen Ireland and Republic of Ireland!Republic ndio ilikuwa inacheza na
France!Hapa ni suala la shule na geography!!!!
 
Ni mapumziko sasa France 0 Rep of Ireland 1 (R Keane)..na wairish wamejipanga na wamecheza vizuri sana
 
MOD naona mumeamka sasa! Jamaa walikuwa wanavaa gloves kuanza kuzipiga.....mkakaa kimya mkiogopa punches za usoni, leo mnahamisha post zangu kule kwenye mapigano. Haya bwana nyie watemi

Mkuu, nashkuru wametutoa na mada yetu kule kwa mzee wa matusi na sauti za vicheche

Umeona wa-irish walivyo na determination? Ukraine chali na russia wanajongea kaburini

Naona leo ni siku ya away teams
 
...daaah, Thierry Henry na 'mkono wa mungu'...
France nao haooo...

Gud Goal Gallas!
 
Back
Top Bottom