denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Ni baada ya uongozi kumjulisha kwamba hautamuongezea mkataba wake unaoisha mwishoni wa msimu huu.
Kahata amewashukuru wanachama, viongozi na mashabiki wa Simba SC kwa kukaa nae kwa upendo muda wote alioitumikia timu.
Pia anaondoka kifua mbele kwa kuiwezesha Simba SC kutwaa mataji ya ligi kuu Tanzania Bara, na kuiwezesha Simba kutinga hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika mara mbili.
Nimtakie maisha mema na mafanikio tele huko aendako, akumbuke Simba ni nyumbani anakaribishwa muda wowowte atakaojisikia kuitembelea.
UPDATE.
Perfect Chikwende raia wa Zimbabwe nae kuna uwezekano mkubwa akaachwa kutokana na kiwango alichokionesha toka asajiliwe na Simba SC kutomridhisha kocha.
Kahata amewashukuru wanachama, viongozi na mashabiki wa Simba SC kwa kukaa nae kwa upendo muda wote alioitumikia timu.
Pia anaondoka kifua mbele kwa kuiwezesha Simba SC kutwaa mataji ya ligi kuu Tanzania Bara, na kuiwezesha Simba kutinga hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika mara mbili.
Nimtakie maisha mema na mafanikio tele huko aendako, akumbuke Simba ni nyumbani anakaribishwa muda wowowte atakaojisikia kuitembelea.
UPDATE.
Perfect Chikwende raia wa Zimbabwe nae kuna uwezekano mkubwa akaachwa kutokana na kiwango alichokionesha toka asajiliwe na Simba SC kutomridhisha kocha.