Mwizi,,,huona waizi,,kila mahali na ndipo,,,hua,,anafunga nyumba yake
na kufuli,,,mbili,,eti,,asiibiwe.
Mlevi,,,,hufikiri watu wote ni walevi,,,,kama yeye.
Hivyo ndivyo,,,,mkabila huona ukabila kila mahali.
Enyi wakabila wenye roho za kikabila,,,ambao
mwaita wengine wakabila,,,,ninani aliye wapatia
certificates kwamba eti nyinyi si,,,wakabila????
Kwanini hamuna macho ya kuona vile kulifanyika Kenya
wiki iliyopita,,,,pale wa Kenya walichanga damu kutoka
miili yao,,zaidi ya paint 10,000?????
Ni kabila ngani iliyo fanya hivi,,,,tuelezeni enyi nyinyi watafiti
wa ukabila Kenya,,,,,,hamuwezi kuyaona kwani roho zenu zimejawa
ni mashida ambayo hayaweleki.
Wanainchi wa Kenya walifanya mambo ambayo haijawahi kufanyika
duniani popote.
Walichanga zaidi ya 100 million through phones,,na hapa
hatukujua ni kabila ngani iliyo changa zaidi.
Haya kazi kwenu,,,,ukabila specialists,,,mutueleze.
Tena,,,,ninani mwenye ujuzi zaidi katika hiyo kazi aliyo
patiwa bwana Joseph Kinyua,,,,ambaye anaweza
kuwa na juu,,,,,,,,,,, kumliko???????
Hakuna,,,,,very confident,,,when i say so,,,hakuna
yeyote Kenya anae weza kua juu ya Kinyua,,,hakuna,,
kwani yeye yuko juu ya mtu yeyote Kenya ,,,has been
tested and he more than
qualified.
Hatutaki kujua dereva ni nani,,,,ama hauta panda basi
sababu dereva si waabila lako???????
Upuzi ulio pitwa na wakati.
This is 2013,,,,do not sing,,,songs which were sung
by grand fathers and mothers,,,in 60's and 70's.
Make a difference,,please,,,,,i beg.