Natafuta mchango wake kuhusu mkataba ovu wa Bandari kisha nitatoa salamu zangu za rambirambi.Poleni saana sana ila kumbe na CCM nao wanakufA
Ngoja tuone alisimama upande gani suala la bandari..halafu turudi hapa.Natafuta mchango wake kuhusu mkataba ovu wa Bandari kisha nitatoa salamu zangu za rambirambi.
Mwenye kujua mchango wake atuwekee hapa.