TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

MAWEED

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
3,550
Reaction score
12,239
Salaam,

Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.

Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Innalillah wainna ilayhi rajiuun.

===

Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…