Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Waambie wauza bandari zetu!!!msiba hauzoeleki.
tuishi kwa kutenda mema maana hujui siku wala saa roho yako itatolewa.
tuache ujeuri, kiburi, fitina na roho mbaya kwa binaadamu wenzako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie wauza bandari zetu!!!msiba hauzoeleki.
tuishi kwa kutenda mema maana hujui siku wala saa roho yako itatolewa.
tuache ujeuri, kiburi, fitina na roho mbaya kwa binaadamu wenzako.
Limebakiwa na pengo kwani walimchagua?Wandugu jimbo la Mbarali limebakiwa na pengo baada ya Mbunge wa Mbarali mheshimiwa tajwa hapo juu kuaga dunia baada ya kugongwa na pawatila akiwa kwenye pikipiki maeneo ya shambani!
"Ajali haina kinga"
Ndiye yule aliyekua akimbananisha Waziri Mkuu kuhusiana na issue ya Mbarali?Salaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Anord Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Salaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Anord Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Kapiga makofi uuzwaji wa bandariNatafuta mchango wake kuhusu mkataba ovu wa Bandari kisha nitatoa salamu zangu za rambirambi.
Mwenye kujua mchango wake atuwekee hapa.
Watu wema hawafi mkuu au unasemaje? Ok kama vp alale mahali panapomstahiliSalaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Unabidi Kupata therapy kwa therapistMungu nisaidie nimekuwa na roho ngumu,mpaka hawa ''wanasiasa'' wakifa naona ni poa tu,kama vile mmbu.😳