TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

20230701_172950.jpg
Nafuatilia breaking story hii ya kifo cha huyo jamaa hapo ☝🏾, naona watanzania wamechafukwa huko mitandaoni aseee!.

Yaani wanashangilia sana kifo cha huyu mbunge kisa ni mwanaccm, wakihusisha na issue ya bandari.


NO, tuwe na subra kidogo ndg watanganyika!.
 
Salaam,

Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Anord Mtega amefariki dunia leo.

Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Innalillah wainna ilayhi rajiuun.

===

Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Ndiye yule aliyekua akimbananisha Waziri Mkuu kuhusiana na issue ya Mbarali?
 
Amepata ajali ya bodaboda lakini utatupa update ungonjuwa gani umemuua,are you serious?
Salaam,

Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Anord Mtega amefariki dunia leo.

Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Innalillah wainna ilayhi rajiuun.

===

Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
 
Afe tu!!!

Ukweli sina uchungu wowote akifa mtu anayepiga piga makofi hovyo akishangilia vitu visivyokuwa na msingi kwa taifa,huwezi kujua faida ya yeye kula posho kupitia kodi yetu na angeendelea kuwepo still angezidi kututia hasara.
 
Salaam,

Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.

Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Innalillah wainna ilayhi rajiuun.

===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Watu wema hawafi mkuu au unasemaje? Ok kama vp alale mahali panapomstahili
 
Back
Top Bottom