Franco Luambo Makiadi

Franco Luambo Makiadi

Tatizo simuelewi. I wish I did. Unaweza kuwa una dance to the tunes kumbe anaongea rubbish.
 
wanamuziki wengi walipitia shule ya Franco. Michelino. Sam Mangwana. Madilu System na wengine wengi.
Mtakumbuka kuwa Fan Fan Mosesengo aliyekuwa anapiga solo kwenye bendi ya Mzee Makassy Dar-es-salaam alitokea TP Ok.
Fan Fan pia ndiye mwanzilishi wa Super Matimila ya Remmy.
Wimbo wa Bina ngai na respect ulirekodiwa na TP Ok mwaka 1981.
Baadaye bendi ya Ochestra Safari Sound chini ya Kasheba ikauimba kwa kiswahili
"Mara ya mwanzo umeniomba tucheze....."

MOSE FAN FAN..alikuwa mpiga gitaa maarufu baada ya Franco kumuachia gitaa lake,ndio mwanzili wa mtindo wa SEBENE.

Mwanzilishi wa muziki wa ki congo haswa ni marehu Joseph kabasele from kabasele empirer na bend ya African Jazz,lakin haikudum sana kutokana na umauti wake(sikiliza wimbo wa Franco na tabu ley memorial ya kabasele)ndio utakubali colabo la franco na tabu ley.Tabu ley kilichokuwa kinamzubaisha kidogo ni WANAWAKE alikuw anawapenda sana.
MARIE bove vove alifanya sana makubwa na Franco na sam mangwana,japo hakuwi ku member wa kundi la TP.
Hawa ndio waanzilishi wa TP 1950.
1.Jean Serge Essous
2.Verky longomba,awilo sister's
3.Franco aka Jembe
4.De la lune
5.Monianna Roitelet
6.La Monta LiBerlin
7.Saturnin Pandi
8.Philippe Lando Rossignol.
9.Nico busuma

Walio kuja:
Edo ngagnga,mulamba joseph mujos,simaro,VERCKYS KIAMUNGWANA MATETA...mwanzilishi wa orchestra veve aliambia wimbo wa NDONA,lola checain..mpiga gitaa,Zaltan daniel yantesa..clarinst,Madilu,Rondont kassongo wa songo,mose fan fan..ckiliza wimbo wake..SEBENE UA BA YANKEES,sam mangwana,Josky,youlou maviala,tshongo marie marie Bavon wengine cwakumbuki ila ni bendi ambayo ikuwa ina member zaid ya 50; kwa ajili ya show az ndan ya nchi na nje.
 
niliwahi kusikia kuwa alifariki kwa Ukimwi, 1989 nadhani.
Ugonjwa ambao hata yeye mwenyewe aliupiga vita kupitia wimbo wake wa SADA (tafsiri ya AIDS kwa Francais).
All in all, Franco was great...
Nakumbuka wimbo wake wa Balo Baki ft. Mangwana...
Kuna pale penye wanaimba Kiswahili,
"...Mimi na wewe, kisa gani Mwanamboka?"

Sio SADA..ni SIDA..wimbo unaitwa ATTENTION NA SIDA..amboya ina nyimbo kama KINSHASA MBOKA YA MAKAMBO,LIKAMBO YA NGANGA,MARIO,Q'U EST LE SERIEUX.
 
niliwahi kusikia kuwa alifariki kwa Ukimwi, 1989 nadhani.
Ugonjwa ambao hata yeye mwenyewe aliupiga vita kupitia wimbo wake wa SADA (tafsiri ya AIDS kwa Francais).
All in all, Franco was great...
Nakumbuka wimbo wake wa Balo Baki ft. Mangwana...
Kuna pale penye wanaimba Kiswahili,
"...Mimi na wewe, kisa gani Mwanamboka?"

Sio SADA..ni SIDA..wimbo unaitwa ATTENTION NA SIDA..amboya ina nyimbo kama KINSHASA MBOKA YA MAKAMBO,LIKAMBO YA NGANGA,MARIO,Q'U EST LE SERIEUX.

but good saaana Mpha.
 
Mkuu, huyu jamaa (Georges Kiamwangana) pana wakati alimfunika kabisa Luambo na Tabu Ley hasa alipokuja na mtindo (wimbo wa New generation).

Upigaji wake Saxaphone ulikuwa unatisha na alikuwa kama sikosei ana bendi 3 au nne huku Orch. Kiam aliyokuwa akiimbia Nyboma (namhusudu sana jamaa) na Lupua Lipua zikiwa Kenya. Baadhi ya wanamuziki walikuwa wakienda Kenya na kurudi Kinshasa na nashindwa kuelewa alikuwa akimanage vipi hayo yote.

Bendi nyingine alizokuwa akiwatengenezea miziki (wengine ndipo wanadai zilikuwa zake) ni Les Grands Maquisards, Orchestre Kiam, Bella Bella, Lipua Lipua, Les Kamale na Empire Bakuba. Nafikiri hata urafiki wa Pepe Kalle na Nyboma vs Dali Kimoko ulianzia huko. Na nilishaambiwa kuwa pale Kinshasa ndiyo alikuwa na ukumbi mzuri wa muziki na ukiweza kupata ruhusa upige pale, basi wewe ni MKALI maana ni wachache sana kama akina TPOK JAZZ ndiyo walikuwa wakipiga ukumbi wake. Pia alishiriki kwenye film ya La VIE BELLE iliyochezwa na Papa Wemba na alicheza kama mzee mwenye Shoe shiners kibao mtaani na wanakodisha vifaa vya kazi kwake na jioni wanamlipa.

Wimbo wa Baruti na Mikolo Mileki Ming ulinichengua sana. Infact ni kaka zangu ndiyo wasikilizaji na mie nikiiga tu maana nilikuwa dogo sana ila kumbukumbu yangu ni nzuri sana.



Mzee shukrani kwa huu wimbo Baluti, i love the song and Verkys, hivi nataka nipite pale TBC Radio mjini nikatafute CD ya huyu mtaalamu!
 
Last edited by a moderator:
Well well well.......

TP OK JAZZ SQUAD MEMBERS
  1. Franco (Band Owner And Leader, Main Performer, Vocals, Lead and First Solo Guitar, Percussions)
  2. Lutumba ‘Simaro’ Ndomanueno Masiya (Chef D'ochestre, Vocals, Second Solo Guitar),
  3. Biallu Madilu ‘Systeme’ (Vocals, Vocals (Background)
  4. Zitani Dalienst Ya Ntesa (Vocals, Vocals (Background)
  5. Mavatiku Visi ‘Michelino’ (Lead Guitar,Vocals, Vocals Background)
  6. Sam Mangwana ‘La pigeon Voyageur’ (Vocals, Vocal Background)
  7. Ndombe Opetum (Vocals, Vocal Background)
  8. Malage De Lugendo (Vocals, Vocal Background)
  9. ‘Josky’ Kiambukuta Londa (Vocals, Vocal Background)
  10. Kiesse Diambu Ya Ntesa ‘Wanted’ (Vocals, Vocal Background)
  11. ‘Djo ’ Mpoyi Kaninda (Vocals, Vocal Background)
  12. Nana Akumu (Vocals, Vocal Background, Dancer)
  13. Baniel Bambo (Vocals, Vocal Background, Dancer)
  14. Lolima Kanga (Dancer)
  15. Koko Nzumba (Dancer),
  16. ‘Gerry’ Dialungana Kasia (Lead Solo Guitar),
  17. Aime Kiwakana Kiala (First Solo Guitar, Vocals),
  18. Wuta Mayi (Bridge Solo Guitar, Vocals),
  19. Makonko Kindudi (Solo Guitar),
  20. Mantuika Kobi (Rhythm/Solo Guitar),
  21. Mandjeko Lengo (Rhythm Guitar),
  22. Yoka Mangaya (Bass Guitar),
  23. Monongi Mopia (Bass Guitar),
  24. Lunama Nbembo (Saxophone),
  25. Matalanza (Saxophone),
  26. Kunsita Madiata Ngo (Saxophone),
  27. Empopo Loway (Saxophone),
  28. Rondot Kassongo wa Kassongo (Saxophone),
  29. Milanda Nkuta-A-Zowa (Trumpet),
  30. Bolilo Mutshipayi (Trumpet),
  31. Bosuma Bakili (Percussion, Drums),
  32. Joseph Nganga (Producer),
 
Tatizo simuelewi. I wish I did. Unaweza kuwa una dance to the tunes kumbe anaongea rubbish.

I don't think so.........

Franco & le T.P. O.K. Jazz
1. Franco & le T.P. O.K. Jazz - Baninga Tokola Balingaka Ngai Te (Lola Chécain) 1975: Pajoooooooosss Na Ndjili, As Opetum Shouted, Ntoya Fuala well known as PAJOS (1947-1984 RIP) was one of the first Congolese (Zairoi) to master the art of playing drum in 1970......opetum was so supreme in those days, he can do first or second voice anytime...you need to be a master in singing to do that....thats why we are still finding it very difficult to unearth good singers nowdays......anyway thanks for this song, i tought it was franco's.

2. Franco & le T.P. O.K. Jazz - Mukungu (Gerry Dialungana) 1983: Although shattered over several CD's, this song, K.S.K. and Nda-Ya were all originally released on the same LP. Same team all over.

3. Franco & le T.P. O.K. Jazz - K.S.K. (Josky Kiambukuta) 1983

4. Franco & le T.P. O.K. Jazz - Nda-Ya (Mpudi Decca) 1983

5. Franco & le T.P. O.K. Jazz - Nostalgie (Josky Kiambukuta) 1982

6. T.P. O.K. Jazz - Boureau des Coeurs (Dénis Bonyeme) 1985:Someone is begging his lover....open your heart please , I am desperate, please give me your love the same way I'm giving you my love....I know that I was wrong and I understand why you don't want to be with me, I know that hate is the opposite of love. I was wrong....but please darling.....I am desperate....When love start...its start in one person's heart then contaminates the other person. If I was the one who started...it's God's will....please open your heart....It's a great song

"Bolingo e kamwe kobandaka, na, na motemasi ya moto moto
Kinuae koko tamine, Motema ya moto mususu
Soki ngana bandaki yo, Nzambe moto atindakaboye
Mobali ya banda mwasi, Si maba lingana"

7. Franco & le T.P. O.K. Jazz - Bimansha (Josky Kiambukuta) 1980: This is a monument to Josky's composing in his favorite Shaba rhythm (inspired by San Salvador). Starting with Fariya (1977), almost every one of his compositions was a variation on this groove.Also, in this era (the early 80's), the maracas was reinstated temporarily, and Josky (who had been taught by his mother) was brilliant at it. He plays it on the studio version of Bimansha (on vinyl nearly 16 minutes long), as well as on the Alita-Mehida-Massini-Limbisa Ngai album (stereo on vinyl, mono on cd), on which Franco doesn't play a note, by the way. And he also plays the maracas on Minzata (crisply recorded in 1987).The vocal line-up was the same as on the record: Dalienst, Opetum, Diatho, Kiambukuta.It is my guess the studio version was recorded later than this. That cut is a highlight in the repertoire of le T.P. O.K. Jazz in every respect, not in the least because of Franco's six-and-a-half minute guitar solo. SAVAGE!! Mpudi Decca on bass, Makosso on rhythm guitar, Gerry Dialungana "solo", Franco mi-solo. Ntoya on drums and I'm not sure about the sax players, possibly Matalanza on the left. Percussionist slipped my mind.

8. T.P. O.K. Jazz - Manguta (Nguashi Ntimbo): Vocals: Djo Mpoyi, Nguashi Ntimbo (Composer of the song), Lola Chécain, Josky Kiambukuta.the translation of the "Manguta" fragment you posted. Essentially, it is a call and response session between the Chorus and the short solo by Josky Kiambukuta, followed by an extended "sebene". Josky is obviously improvising on the original composition and he keeps changing the metaphors he used to refer to the beloved Manguta "flower of my heart", "flower from the saints", "flower from the bards", "mermaid". I guess he could have gone on for a bit. It's not always easy to what these Lingala singers say, especially when they use "Frangala" that all-too-popular Kinshasa way of combining Lingala roots and French suffixes (or vice-versa).

chorus:
Elongi ya chérie(My darling's face)
Elongi ya chérie (My darling's face)
Photocopie ya Manguta aimée, aimée! (Photocopy of Manguta, beloved, beloved!)
Balobi ye ayoka te, aimée, aimée! (They talked (gossiped) but she didn't listen, beloved, beloved!)
Manguta nalingi yo fololo na ngai ya motema (Manguta I love you, flower of my heart.)

Joksy Kiambukuta (Solo vocalist):

O fololo na ngai ya motema (O flower of my heart)
Soki yo te, nakolala te (When you are not there, I don't sleep a wink)
Elongi ya chérie o o (My darling's face)
Kaka boye(Just so)
Chérie aprovokaka te o o (Darling isn't provocative)
Mayo seya o o - [.....]
Oh nga nawei, nga nawei (Oh, I'm dying, I'm dying) {Chorus repeated}
Joksy Kiambukuta (Solo):

O fololo na ngai na ya basantu(Oh my flower from the saints!)
Soki yo te, nakolala te (When you are not there, I don't sleep a wink)
Elongi ya chérie o o (My darling's face)
Mayo seya - [....]
Chérie aprovokaka te o o(Darling isn't provocative)
Mayo seya o o - [.....]
Oh nga nawei, nga pomba (Oh, I'm dying, I'm fying!)

{Chorus repeated}
Joksy Kiambukuta (Solo)
O fololo na ngai na ya bachantres (Oh my flower from the bards!)
Soki yo te, nakolala te (When you are not there, I don't sleep a wink)
Elongi ya chérie o o (My darling's face)
Mami wota(Mermaid)
Chérie aprovokaka te o o (Darling isn't provocative)
Ekoseka (She is laughing)
Oh nga nawei, nga pomba(Oh, I'm dying, I'm fying!)

{Chorus repeated}
{Extended Sebene}
 
nilisha dosha thread moja imaitwa BAKULUTUS nikasema kama kuna mti anaitaji nyimbo zote za TP Ok,AFRISA INTERNATIONALE ya Tabu ley,MADILU,SAM NGWANA NA NYINGIME NYIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIINGI,NITAFUTE.

Nilibahatika kuitembelea familia ya Franco mwaka juzi kinshasa ,walifurahi sana kuona Tz tupo nao na bado tuna wakumbuka,nikaweka na shada kwenye kaburi la Franco,mdogo wake Bavon marie marie siongo alifarik 1970kw accident.Walinipa collection zote za Franco.
 
Mzee shukrani kwa huu wimbo Baluti, i love the song and Verkys, hivi nataka nipite pale TBC Radio mjini nikatafute CD ya huyu mtaalamu!

Nitafute..uta enjoy mwenyewe..
 
Nikisikia Franco kitu cha kwanza I do ni kumbumbuka babangu.... He was a Great fan of the man. Kuna roumors kua the guy was in loggerheads na Mobutu kisa mwanamke.... Kuna story moja nilisikia kua Mobuta alikua na his favourite car, Franzo akaenda kununua the same Car na kujaza taka ndani ya gari kisha akapita nayo nyumbani kwa Mobutu (as a way ya fimbo za wazi wazi...); Enways I was really young wakati nasikia hizi story.... I wonder kama zilikua na ukweli ndani yake.... Napenda wimbo wake wa "mamuu" (sijui nimepatia jina?) The song is about a lady kaenda nje wapo mbali na mume alafu mmoja wao anafanya infidelity....
 
Youlou Mabiala of the famous SALIMA song(1976)...... married off Franco's eldest Daughter....now crippled by paralysis and no longer active

Asumani%2BYoulou%2BMabiala%2B-%2BTP%2BOK%2BJazz%2BTl%2BZaire%2B1975%2B%2528640%2Bx%2B360%2529.flv_snapshot_02.59_%255B2011.04.10_13.32.41%255D.jpg
 
Nikisikia Franco kitu cha kwanza I do ni kumbumbuka babangu.... He was a Great fan of the man. Kuna roumors kua the guy was in loggerheads na Mobutu kisa mwanamke.... Kuna story moja nilisikia kua Mobuta alikua na his favourite car, Franzo akaenda kununua the same Car na kujaza taka ndani ya gari kisha akapita nayo nyumbani kwa Mobutu (as a way ya fimbo za wazi wazi...); Enways I was really young wakati nasikia hizi story.... I wonder kama zilikua na ukweli ndani yake.... Napenda wimbo wake wa "mamuu" (sijui nimepatia jina?) The song is about a lady kaenda nje wapo mbali na mume alafu mmoja wao anafanya infidelity....

AshaD,Franco alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mobutu japo walizinguana kipind kile cha 'LA Aunthenticite',,ambapo alitaka kila mwenye majina yenye asili ya kifara abidilshe haraka,ilipelekea wanamzikwengi wa congo kutimkia ufaransa ambo yeye franco alikubali kw shingo na akapewa jina la L'OKANGA LA NDJU PENE LUAMBO LUANZO MAKIADI.
Mamuu..ameimba na yule dada anitwa okamana.
 
AshaD,Franco alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mobutu japo walizinguana kipind kile cha 'LA Aunthenticite',,ambapo alitaka kila mwenye majina yenye asili ya kifara abidilshe haraka,ilipelekea wanamzikwengi wa congo kutimkia ufaransa ambo yeye franco alikubali kw shingo na akapewa jina la L'OKANGA LA NDJU PENE LUAMBO LUANZO MAKIADI.
Mamuu..ameimba na yule dada anitwa okamana.


Kwa hio ilikua ni uongo kwamba walikua na biffu kwa ajili ya Mwanamke? Hicho kipindi cha "La Aunthenticite" is one of the things ambacho naona Mobutu alifanya la msingi thou alienda a bit extreme with the names, walikua lao moja na Leopold Senghor wa Senegal katika falsafa ya preserving African ethnically authentic....
 
Kwa hio ilikua ni uongo kwamba walikua na biffu kwa ajili ya Mwanamke? Hicho kipindi cha "La Aunthenticite" is one of the things ambacho naona Mobutu alifanya la msingi thou alienda a bit extreme with the names, walikua lao moja na Leopold Senghor wa Senegal katika falsafa ya preserving African ethnically authentic....

Waliwahi kukosana kweli na akamtupa wavuni(jela) lakini walikuwa marafiki wakubwa.......remember CANDIDAT MOBUTU ya 1984?
 
Back
Top Bottom